Habari za masiku nifah?Kwahiyo kumbe na wewe ni mpumbavu na malaya kama Diamond?
Hili jambo niliwahi kulisema kuwa tabia za msanii zinareflect aina ya mashabiki alionao.
Mtu mstaarabu hawezi kua shabiki wa msanii/mwanamuziki mshenzi.
Kwahiyo kumbe na wewe ni mpumbavu na malaya kama Diamond?
Hili jambo niliwahi kulisema kuwa tabia za msanii zinareflect aina ya mashabiki alionao.
Mtu mstaarabu hawezi kua shabiki wa msanii/mwanamuziki mshenzi.
Hata Maulid kitenge ameshangazwa...na ili tukio.View attachment 271555
Mkuu una kithibitisho jamaa punga au unazusha tu,maana hiyo kashfa kubwa.sasa na hili senge linalouza kinyeo unaliona ni mtu kweli wa kuongea point???
Asante sana mkuu, nimekua nikiambiwa hivi na watu wengi sana.Hii Hapa Imekaa Kiintelijensia Zaidi.Kula Gwala Uditective Unakufaa Sana.
tuache unafiki...!!! WEMA nae ni msanii ana mashabiki wake..!!! kwanini wasimpokee...! kila mtu na watu wake...!!
acheni kuwatukana mashabiki wa mtu...!!!
Kila mtu na akipendacho ka vile mashabiki wa simba, Real Madrid. Hongera yake kwa kupata die hard fans
Wema Wema Wema
nilikuwa namuona msanii wa kawaida ila tangu nilipoanza kukutana na maneno juu ya tabia zake nilizani anasingiziwa mara huyo kumbe ya kweli haswa mwaka jana ndio nikaona hapana hata sitaki wanangu wamjue kabisa maana tabia zake sio za kufatwa na watoto kuzijua.
Anatia aibu kwa yoteeeeeeee, watu akifanya mabaya haoooo wananyamaza ikija zamu yake eti mwanamke aonewe huruma mara apendwe kisa looooo mbali mbali kabisa huyo anatia aibu ni mtu wa uraiani hakubidi kuwa na hayo kabisa.
kwenye timu hao ndio wanazidi kumchangia ashuke maana anastahili kuwapo alipo kabisaaaa, hata hao waliowalipa kuwakuta kijiweni ma bodaboda n akuwaomba waende nusu kilomita wapige picha aonekana ameshangiliwa sijui amekaribishwa ni ujinga uliokubuuu kwa mie naona. kwani angerudi na kukaa na kufikiria maendeleo na watu kum misi kwenye mitandao kidogo ingekuwaje?
mtu kuishi kwa ajili ya mashindano na watu na kujiweka asipo ni upu.pu wa juu kwa juu kabisa, hata Imelda alifiwa nae kashachukiwa sababu lazima tunajua kwanini. Msiba hata hakupewa shukurani, marafiki wote maadui
akae chini ajirekebishe, hiyo timu yake wote hawana class ya kumpaisha na ndio hivyo zaidi ya mat.usi mat.usi ndio yamewajaa midomoni na kwenye kudonoa. mimacho ya kulia bado hachoki khaaaaa.
mtu anataka ubunge hata kuposti vya maana juu ya sera hana, anaishia kuposti mambo ya mapenzi ndio kuonyesha nini? alizani wanawake wa Singida nao hawayaoni akizani ni mburulaz. msilazimishe watu kupenda tabia za ovyo za msaniii kama nyie mnapenda mrekonidi muonyeshe wanenu pia.
Mwenzangu kipendacho roho kila mtu na akipendacho. Wasanii wengine wakipokelewa Sawa kwa Wema nogwa jamani wataita majina yote mabaya ooh ma.... Sijui nini kah. Duniani huwezi kupendwa na wote vilevile kuchukiwa na woteNa mimi kwa Wema nimekufa nimeozaa.
Naanzaje kukosa kumpokea labla. Acha wahare hare tuuu
Yuko Kigogo Mmoja Serikalini(na Mbunge) Ndo Anedhamini Kampeni Na Propaganda Zote Hizi Za Huyu Mama Ubaya.
Alikua Na Lengo La Kujisogezea Kiburudisho Chake Karibu Zaidi.Ila Biashara Imegeuka Biashara Kichaa.Pesa Za Kiinua Mgongo Zinawatia Wazimu Sana Hawa Waheshimiwa.Wanazitumia Kinyume Na Malengo Yaliyokusudiwa.
Mwenzangu kipendacho roho kila mtu na akipendacho. Wasanii wengine wakipokelewa Sawa kwa Wema nogwa jamani wataita majina yote mabaya ooh ma.... Sijui nini kah. Duniani huwezi kupendwa na wote vilevile kuchukiwa na wote
Gazeti lote hili nikajua ni cha maana umeandika.
Pumba. Com