Teh Teh hivi wame muandalia mapokezi kwa kuwa amefanya nini cha maana?
Aiseee
Watu wa Dar wana muda mchafu sana kiboko yao panya road
Ha ha ha you have made my day...yan nmechekaTeh Teh nilicho shangaa zaidi kumuona baba mtu mzima yupo hapo sipati picha amesema kwake kuwa ana kwenda kumpokea Wema!
Teh TehTanzania yenyewe kama yenyewe inatakiwa iingizwe kwenye orodha ya maajabu nane ya dunia
Watu wa Dar wana muda mchafu sana kiboko yao panya road
Teh TehHa ha ha you have made my day...yan nmecheka
Teh Teh..hawa ni wale ambao wakisikia kelele yeyete mjini wanatokea umbeya .com
Kuna haja ya kuchunguza IQ za Watanzania, wanampokea kwa lipi?, au kwa umaarufu wake wa kuuza mwili?
Teh Teh hivi wame muandalia mapokezi kwa kuwa amefanya nini cha maana?
Aiseee
Wana daslaam katika ubora wao
Nilichojifunza ni kwamba kila mtu ana washabiki wake. Hawa watu walijichanga wenyewe bila kushurutishwa na mtu bila hata kumjulisha Wema. Yani kwa kifupi wamemshangaza hata Wema.