Mapokezi ya Wema tishio

Duh siku hizi dunia imeisha hadi wanaume na familia zao wana wivu???ndo maana mashoga wanaongezeka,sasa kumpokea mtu na kuwa na kazi kuna mahusiano gan??? Kama mtu humpendi usiwabeze wampendao
Teh teh teh wakipendacho wao ni correct. Tena wanaume ndo wamezidi wivu wa kijinga.
 
unampenda mtu kwa positive things anazo fanya. Huyu ww unampenda kwa kua kafanya nn yani ebu nisaidie hapo mkuu wangu
Kila mtu ana haki ya kufanya chochote akipendacho, wewe ukionacho ni positive kitu kwako kwa mengine ni negative. Na huwezi kuchikiwa na wote.
Kumpenda mtu au kumchukia ni maamuzi binafsi ya mtu. Watanzania hampendi kuheshimu wengine wavipendavyo.
 
Kila mtu ana haki ya kufanya chochote akipendacho, wewe ukionacho ni positive kitu kwako kwa mengine ni negative. Na huwezi kuchikiwa na wote.
Kumpenda mtu au kumchukia ni maamuzi binafsi ya mtu. Watanzania hampendi kuheshimu wengine wavipendavyo.

poa mkuu umesomeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…