A
Sheikh Assalam AleikumLicha ya chuo pia kuwa na mazingira mabovu lakini uwepo wa mapori kuzunguka chuo imekuwa ni hatari kwa usalma wa wanafunzi. Wanafunzi wanakabwa, lakini chuo kimekuwa kinatoa matamko bila ufuatiliaji kwa hadhi ya chuo cha SAUT angalau kuwe na fensi na taa za barabarani especially kwa barabara ya Masha, usalama ni mdogo
Lile jiwe kubwa la dhambi ,msha acha kundinyana ukoMapori yanatusaidia kudinyana cha fastaaa.
SAUT ya wapi?Licha ya chuo pia kuwa na mazingira mabovu lakini uwepo wa mapori kuzunguka chuo imekuwa ni hatari kwa usalma wa wanafunzi.
Wanafunzi wanakabwa, lakini chuo kimekuwa kinatoa matamko bila ufuatiliaji kwa hadhi ya chuo cha SAUT angalau kuwe na fensi na taa za barabarani especially kwa barabara ya Masha, usalama ni mdogo.
Wajiangalie watakosa wanafunzi.Saut bhana, mara hakuna Canteen mara na mapori yaani tafarani