mapozi hayo ya kawaida kwenye dala dala hasa mbagala......vuta picha wewe ndio wa nyuma mbele yako kasimama jimama lenye wezere la 40kg aaarg wareno lazima waje.....
Mapozi mengine bora yabaki huku huko Bongo. Maana nchi zingine unaweza kuishia kutuma ujumbe ndivyo sivyo.....
Hebu mwangalieni mshikaji aliyoko nyuma alivyojipinda. Ni kama vile analenga 'target' fulani hivi. Na aliyoko katikati ni 'amelegea' ile kinoma. Kweli Bongo ni 'fulu kujiachia'.....
Picha kwa hisani ya Food For Thought
I hate daladala. Yaliwahi nikuta one day ilibidi nipitie dirishani!! nilikuwa nimekaa kiti upande usio wa dirisha. Mara mama mmoja kajaliwa NIDO akakita nido kichwani mwangu akijitahidi kufakamia oxygeni iliyokuwa haba ndania ya coaster. Kibaya zaidi alikuwa na KIKWAPA mnyama fungo mwanafuzi. I had to throw. yaa not only that there are too many Maumbas. kama hamjui Maumba I will tell a story some time na hadithi zake za kufadhaika!!
inavyoelekea nyie mabwana wataalmu sana wa kuwabana mabinti na kinamama katika daladala za mbagala so mnataka kusema kuwa kila mwenye mke mbagala mkewe atakuwa kesha fanyiwa mmbanano...........ahah ah haa haa haa haa haa aaaa..... !...No wonder huko kubanana na kufaana wengine wanajikuta mbagala rangi tatu bila kukusudia 😀
I hate daladala. Yaliwahi nikuta one day ilibidi nipitie dirishani!! nilikuwa nimekaa kiti upande usio wa dirisha. Mara mama mmoja kajaliwa NIDO akakita nido kichwani mwangu akijitahidi kufakamia oxygeni iliyokuwa haba ndania ya coaster. Kibaya zaidi alikuwa na KIKWAPA mnyama fungo mwanafuzi. I had to throw. yaa not only that there are too many Maumbas. kama hamjui Maumba I will tell a story some time na hadithi zake za kufadhaika!!
nilipokuwa naenda school jioni nikirudi shati nachomoa halafu napanda dala dala lililojaaaaa..., wthin a fraction of a second nakuwa nimefika, kesho yake asubuhi kila mtu na story yake, halafu wadada nao walikuwa wanapenda sana.
inavyoelekea nyie mabwana wataalmu sana wa kuwabana mabinti na kinamama katika daladala za mbagala so mnataka kusema kuwa kila mwenye mke mbagala mkewe atakuwa kesha fanyiwa mmbanano...........ahah ah haa haa haa haa haa aaaa..... !
...tatizo ni pamoja na wale kina mama 'watundu' ambao kwa makusudi kabisa wanakwenda style za mugongo mugongo kwenye madaladala...
Acha utani mkuu. Unataka kuniambia hii picha ni kwenye daladala.
Mapozi mengine bora yabaki huku huko Bongo. Maana nchi zingine unaweza kuishia kutuma ujumbe ndivyo sivyo.....
Hebu mwangalieni mshikaji aliyoko nyuma alivyojipinda. Ni kama vile analenga 'target' fulani hivi. Na aliyoko katikati ni 'amelegea' ile kinoma. Kweli Bongo ni 'fulu kujiachia'.....
Picha kwa hisani ya Food For Thought