Maprofesa, na viongozi waandamizi Tanzania wanakwama kujiari kwa sababu ya kuwekeza fikra kuajiriwa hata wanapostaafu

Maprofesa, na viongozi waandamizi Tanzania wanakwama kujiari kwa sababu ya kuwekeza fikra kuajiriwa hata wanapostaafu

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Siku viongozi wastaafu wataacha kuteuliwa kwenye nafasi mbalimba itawasaidia sana kujiandaa kustaafu kwa angaliu kuwa na kipato chakuwawezesha kuishi uraiani kwa miaka mitano

Viongozi wengi waandamizi wa serikali wanaishi kwa kuhudumiwa kila kitu na serikali. Wakistaafu wanajikuta hawana capacity na financial capability kuishi uraiani.

Wengi wanajiandalia mazingira ya kuteuliwa kabla ya kustaafu. Wanakosa nguvu ya kutembelea usafiri wa maana kama ambavyo waliaminishwa na mfumo kwamba wapo salama wakitembelea v8 .

Nikiwa Rais hakuna kumteua mstaafu, nitawataka waunde kampuni niwape support ili waweze kujisimamia badala ya kuwa na kizazi ambacho hakina msaada kwa jamii.

Maprofesa wenye kampuni nchni sidhani kama wapo, wenye taasisi zao hawapo.....elimu yao ya PHD inasaidia nini jamii? Kama PhD holder hana hata consulting firm unatarajia elimu yake ilisaidie taifa?
 
Mfumo wa elimu yetu unatufanya tushindwe kujitegemea hata baada ya kufanya kazi kwa miaka yetu 60, unakuta mtu ana master pamoja na CPA na uzoefu wa kazi miaka 40 lakini muambie afungue kampuni yake hawezi ,anategemea kuteuliwa kwenye kamati na vyeo vingine vya kisiasa.
 
Siku viongozi wastaafu wataacha kuteuliwa kwenye nafasi mbalimba itawasaidia sana kujiandaa kustaafu kwa angaliu kuwa na kipato chakuwawezesha kuishi uraiani kwa miaka mitano

Viongozi wengi waandamizi wa serikali wanaishi kwa kuhudumiwa kila kitu na serikali. Wakistaafu wanajikuta hawana capacity na financial capability kuishi uraiani.

Wengi wanajiandalia mazingira ya kuteuliwa kabla ya kustaafu. Wanakosa nguvu ya kutembelea usafiri wa maana kama ambavyo waliaminishwa na mfumo kwamba wapo salama wakitembelea v8 .

Nikiwa Rais hakuna kumteua mstaafu, nitawataka waunde kampuni niwape support ili waweze kujisimamia badala ya kuwa na kizazi ambacho hakina msaada kwa jamii.

Maprofesa wenye kampuni nchni sidhani kama wapo, wenye taasisi zao hawapo.....elimu yao ya PHD inasaidia nini jamii? Kama PhD holder hana hata consulting firm unatarajia elimu yake ilisaidie taifa?
Wewe unaisaidia nini jamii?

Hao maprofesa hawakumsomea mtu au kwa kusoma kwao hawakufanya jinai yeyote, wao walitumia wakati wao vizuri kuitafuta elimu na hawakumzuia mtu kupata elimu..

Acha chuki jibidiishe na maisha usilaumu mtu. Nyinyi ndio mpaka leo mnalaumu wazazi kuwa hawakuwafanyia hiki au kile.

Fursa zote zilizopo ni haki ya kila mtu kuzipigania awe Mzee, kijana, mwanamke au mwanaume mradi haki iwepo katika ushindani.

Kuwa na umri mkubwa sio kustaafu maisha.

Kuna watu hawajasoma kabisa na wana makampuni na wameajiri watu tena wasomi; usitafute excuse ya kulaumu wengine kama maisha yamekushinda, jitathmi I umekosea wapi.
 
Nilikuwa na mtazamo kama wako mpaka pale nilipoanza kuona maisha ya babw yangu mmoja hivi.

Age yake ni kama 45 hivi ni PhD. Anaamka saa tisa kuandika, anatuliza akili sana, haendi outing wala sherehe mara nyingi, haendi club. Anasoma na kuandika, kufanya mikutano, training, kuzunguka nchi kadhaa, kufanya research.

Kisha chuo ana wanafunzi wengi tu undergraduates na post graduates. Mara huyu ana research proposal, mara huyu ana-defend, mara vikao vya board, huku anaitwa kushauri sijui nini. Niligundua anakuwa busy mno kuliko nilivyodhani. Na hao wasomi wala hawana shida na hizo biashara unazowabambikia, usitake kusema Mo Dewji anakunywa Mo Energy kisa anazitengeneza yeye, yeye furaha yake ni kuzalisha bidhaa sio kuzitumia. Sio kila mmiliki wa bar ni mlevi.

Wasomi wanakuwa na furaha wakichapisha tafiti zao nawe raia ukazitumia kwa manufaa, serikali ikazitumia kutengeneza sera, taasisi zikatumia na mwananchi hata yule wa chini asiyesoma akanufaika.

Kila mtu ana wito wake
 
Back
Top Bottom