Mapumziko ya Kitaifa baada ya Ushindi wa Taifa Stars

Towned

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2018
Posts
226
Reaction score
300
Ni dhahiri kuwa baada ya Uganda kuichapa Cape Verde pale Kampala na hatimaye kufuzu AFCON 2019, Tanzania ina nafasi kubwa sana ya kufuzu pia.

Sasa wakati timu yetu ikisubiri kutupa zawadi hiyo tuliyosubiri kwa muda mrefu tangu 1980, na kwa vile Mh. Rais JPM ni mwanamichezo ni dhahiri kuwa hato tuangusha. Namaanisha atatangaza siku kadhaa za mapumziko ya Kitaifa kuisapoti timu na kusherehekea kufuzu huko.

Swali ni je! Mh. Rais atangaze siku ngapi za mapumziko? Mi nadhani siku tatu zitafaa sana. Yani mfano tukifuzu kesho jumapili basi tupumzime hadi jumatano.

Sasa nyie wachezaji wa Taifa Stars msituharibie ratiba yetu ya mapumziko. Inatakiwa mshinde tu... Watu tumeshajipanga kwa long break
 
Dah Uganda wamenifurahisha sana, yaani hapo tunahitaji draw tu tutoboe
 
Uwezo wa Taifa stars no mdogo sidhani kama watashinda. Japo naiombea kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…