Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,676
- 4,693
Habari wanamichezo.
Nimeangalia mechi 2 za Simba SC. Simba vs Singida na Simba vs Yanga.
Timu ya Simba ina mapangufu katika nafasi hizi:-
1. Golikipa.
2. Beki wa kushoto "left back".
3. Beki wa kati (Simba wanahitaji kua na beki wa kati anaye tumia mguu wa kushoto "left footed center back")
4. Kiungo mkabaji (Simba haina kiungo mkabaji asilia, labda kwakua sijamuona Abdallah Hamis akicheza. Ngoma sio kiungo mkabaji wa kumtegemea naona amekuja kuziba nafasi ya Kanoute)
5. Simba haina mshambuliaji mahiri wa kati "center forward".
Nyongeza: Kumchezesha Chama na Saido Ntiba kwa pamoja ni mzigo kwa timu.
Ni mtazamo wangu
Nimeangalia mechi 2 za Simba SC. Simba vs Singida na Simba vs Yanga.
Timu ya Simba ina mapangufu katika nafasi hizi:-
1. Golikipa.
2. Beki wa kushoto "left back".
3. Beki wa kati (Simba wanahitaji kua na beki wa kati anaye tumia mguu wa kushoto "left footed center back")
4. Kiungo mkabaji (Simba haina kiungo mkabaji asilia, labda kwakua sijamuona Abdallah Hamis akicheza. Ngoma sio kiungo mkabaji wa kumtegemea naona amekuja kuziba nafasi ya Kanoute)
5. Simba haina mshambuliaji mahiri wa kati "center forward".
Nyongeza: Kumchezesha Chama na Saido Ntiba kwa pamoja ni mzigo kwa timu.
Ni mtazamo wangu