Mapungufu ya Lady Jaydee na kosa la kumwita Mwana FA kuwa MwanaFatuma

wewe ni mwanafa au team wafu fm nyokooo zako sepaa haitajiii maneno yako wala kujikomba..
 


Bibi kaisha.
Bibi kabaki jina tu
 

mtoa mada. inaonekana Bado ile dozi ya upendeleo na ujinga bado ujamaliza kwanza inaonesha una chuki na komando swala sio kusema mwanafatuma kwa kuwa sio tusi pili jide sio mungu hivyo hawezi kuzuia ridhiki ya recho na wengineo huo ni umbulula wako ww mtoa mada kwani shabiki halazimishwi kununua cd ya jide na kuacha ya f a. Tumia akili
 
yahaya uko kwan maskan yako wapi yahayaaa eeee?
 
Haya kamwambie aliekutuma huku umegonga mwamba atafute pengne labsa facebook na kwngneko,GT wapo kwa JD
 

swala sio kununua cd,we vipi,usikariri ndugu
 
Katika huu uzi niliandika mengi yaliyomuhusu Huyu mdada Jay dee,lakini kuna watu walikuja na kumtetea hadi wengine wakawa wanatukana.Sasa,Leo hii maneno yangu yametimia kwamba,ANADHARAU KIBURI,MAJIVUNO,UBINAFSI,ULIMBUKENI n.k.ETI ANASEMA HAJUI KAMA KILI.AWARDS ZIMESHAFANYIKA.hahaha,
 
Unaonekana unamchukia sana jide, bt nakushauri2 kumbuka no body is perfect kama ulivo ww na yy hayo ndo mapungufu yake na pengine coz humpend mpaka unaexagerate, so stop dt tone ur using against her na ukumbuke na mazur yake pia, z fact kwamba yy ni msanii doesnt give u z ryt to judge her as if she is an angel ambae hapaswi kukosea
 

Yupo bongo ila kajichanganya....
 
The girl ana overconfidence ki2 ambacho siyo kizuri,....elegance inamfanya akae mbali na wasanii wenzie......ukitaka kufight na Ruge you must be so smarter than him(shigongo admitted that
 
Huyu dada HANA adabu na sitavumilia kuona kijana mwenzangu akidhalilishwa kwa sababu tu ya kutoelewana kibiashara!

Ingawaje nilipanga nimtoe bi mdogo out twende kwenye onyesho lake natangaza rasmi NIMESUSIA kama bi mdogo anaenda aende mwenyewe!

Binti usijiingize kwenye ugomvi usioujua,utasutwa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Binti usijiingize kwenye ugomvi usioujua,utasutwa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Ww KIGORI UMEPATA simu mpya leo basi ndiyo unaandika kila kitu ili uonekane na wewe kama upo up to date!Kweli MASKINI akipata makalio huyaweka wazi ili avute attention ya WANAUME!
 

yaani sikuile ndo kanichefua kabisa.Ashukuru Mungu kwakuwa anadam ya kupendwa,hata akifanya kitu kibaya watu wanaona sawa tu
 

Kwani Jide alikunyang'anya mume ama kuna kingine kinachokuuma? Maana hiyo fuatilia unayomfuatilia sio ya kiume, wewe lazima utakua mwanamke mwenzie ambaye alikupora bwana/ buzi.
 
Kwani Jide alikunyang'anya mume ama kuna kingine kinachokuuma? Maana hiyo fuatilia unayomfuatilia sio ya kiume, wewe lazima utakua mwanamke mwenzie ambaye alikupora bwana/ buzi.

Debe tupu......
 
Wewe kama unamtetea FA na Clouds FM na wewe mwana Fatuma umetumwa utuletee mipasho humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…