Mapungufu ya Lady Jaydee na kosa la kumwita Mwana FA kuwa MwanaFatuma

Agnostic over here.

Its a free country, freedom of speech to even overinflated airheads railing over cardbox philosophers.

Luckily, like Ijahman I need neither syndication nor vindication.
 
She has an arrogant and false sense of entitlement. Even worse, she thinks she is the shit when she ain't.

Her music is shitty and her attitude is woeful. She needs an attitude adjustment.

You're just jealous of her success...hw could u be so concerned?...GAL
 
sijaparamia mada mimi nimeeleza kutokana na situation niliyoiona,mtu kumjua vizuri siyo mpk awe mme au mkeo just being close tu inatosha,alafu una uhakika gani kama mwana fatuma ndiyo mwana fa,wewe umekuwa msemaji wa mwana fa,kwa nini usimshauri akamfungulie kesi? kama junahisi mwana fa kadhalilishwa
 
Ni kwel kabisa mwana fa na jide ni wa2 wanaofahamiana vizur kutokan na shughur zao za muziki, na pia wamekuw wakishirikiana sana..nakumbuk ktk haruc ya gadner na jide, mwana fa alikuw ni mmoj wa wapambe wa maharuc...kutokana na ukaribu wao iliwabid wapeane nafasi na kila mmoja ashirik ktk show ya mwenzie...kam mistake ilitokea tar 31 ya kufanana cku ya show zao kabla ya wote kuhairisha kutokan na msiba wa ngwair.. n then jide akapanga cku nyngn..vp fa apange the same date na jide? Kiukwel inaleta hisia mbaya wakuu...fa ana2fany tuamin kwamb anatumika nakina Ruge...SIUNGI MKONO HOJA.
 

Mi sio msemaji wake na wala hanifaham,mm ni shabiki tu wa muziki
Sidhan kama anahaja ya kufungua kesi maana haitasaidia.lakini jitahidi pia kuchunguza mambo kwa kina kuliko kubaki kuwa mtumwa wa mawazo na kutokukubali kubadilika ama kuboji kwa kila unachosikia ama
Kuambiwa.
 
Free ideas yaani unaonekana kabisa umetumwa na shosti jenzako Rugay a.k.a kookaburra ili kumchafua Queen of the battle Lady Jay Dee.
Umejiunga juzi ili tu kuandika uharo huuu.
Toka hapa, na huyo mwanafatuma na kwashiakoo yake ndio ataishia kutumikishwa tu, hajui hata alitendalo.
 
Last edited by a moderator:

Sasa hapo nimeongea nini ambacho cjakichunguza,vyote nilivyoongea ndio ukweli uliopo,alafu ucmalize nguvu zako. Kunielimisha mimi nafuatilia kila ki2 na ni mshabiki mzuri sanawa hao mabwana. Ila penye ukweli lazima 2seme hata kama unauma hapa fa amekosea na hlo atakuja kujilaumu nalo.!!!
 
Mwana fatuma anatumika tu kama kondom, na clouds wakisha mtumia watatmtupa kwenye dust bin
 
Huyu dada HANA adabu na sitavumilia kuona kijana mwenzangu akidhalilishwa kwa sababu tu ya kutoelewana kibiashara!

Ingawaje nilipanga nimtoe bi mdogo out twende kwenye onyesho lake natangaza rasmi NIMESUSIA kama bi mdogo anaenda aende mwenyewe!

Mm mke wangu na rafiki kama kumi lazima tukamsuport dada yetu. Mwanaume huwezi rubuniwa kijinga kuwasaliti wasanii wenzio. Ndiomaana wasanii aabongo hawakuwi kimaendeleo coz they are thinking only today. Big up jide keeo it up.
 
Mm mke wangu na rafiki kama kumi lazima tukamsuport dada yetu. Mwanaume huwezi rubuniwa kijinga kuwasaliti wasanii wenzio. Ndiomaana wasanii aabongo hawakuwi kimaendeleo coz they are thinking only today. Big up jide keeo it up.

Tatizo sio kumsapoti maana hata mimi terh,.14,ningekuwa Tanzania ningeenda hta na familia yangu maana ni moja ya fans wake wakubwa,
Swala hapa ni matusi na kibur na kutokukubal ushaur na kujiamini kupita kiasi,na kujaribu kuaminisha watu kwamba yeye yuko safe na anaonewa nawakat nyuma ya pazia mambo tunayajua sisi.
Mngemjua japo.kidogo jaydew msinge mshabikia kwa hili la kutumia mitandao kukashfu na kutukana wasanii wenzake
 

Kwani upo 'inji' gani mkuu??
 
Mbona Ubongo wako unaongozwa na hisia za Ruge??
 
Lady Jd shule hana.. mwana Fa shule anayo... Nadhani unawexa kuona tofauti ya hawa wawili...

Mburula Huwa anaropokwa tu sababu uwezo wa kufikiri ni mdogo ...

Lady jayde ni.mfano hai
 

mwanafa huko nje ya tanzania umeenda lini?
 

Wanyalu kashirikishwa na Mike Tee.
 

Kutukanwa atukanwe Mwanafatuma, kulalamika ulalamike wewe....................MAJANGAAAAAAAAAAAA.
Umechemka bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…