Pitia huu uzi:Wakuu kwa miezi kadhaa kama minne hivi ninekuwa na tatizo la kuota mapunye sehemu za tumboni,mguuni,mikononi n.k mapunye haya yanawasha sana na ukijikuna yanatoa kama unga unga hivi. Nimeenda hospital kama Kairuki, ilala afya centre daktari anaangalia anakupatia tube. Hizo tube nimetumia miezi hiyo lakini sijapata nafuu na sasa tatizo linaendelea.
Naomba ushauri wenu wakuu
Herpes zoster!! Umeyakanyaga. Kwa nini hamtumii condoms lakini?Wakuu kwa miezi kadhaa kama minne hivi ninekuwa na tatizo la kuota mapunye sehemu za tumboni, mguuni, mikononi n.k
mapunye haya yanawasha sana na ukijikuna yanatoa kama unga unga hivi. Nimeenda hospital kama Kairuki, ilala afya centre daktari anaangalia anakupatia tube. Hizo tube nimetumia miezi hiyo lakini sijapata nafuu na sasa tatizo linaendelea.
Naomba ushauri wenu wakuu
Ndo umkemee hivyo🤣🤣🤣🤣Herpes zoster!! Umeyakanyaga. Kwa nini hamtumii condoms lakini?
Tsh 1,000 unapata condom 3. Sasa tamaa ya nyama kwa nyama inamsumbua mpaka atumie malakiNdo umkemee hivyo🤣🤣🤣🤣
Mkuu pole kwa tatizo.Wakuu kwa miezi kadhaa kama minne hivi ninekuwa na tatizo la kuota mapunye sehemu za tumboni, mguuni, mikononi n.k
Mapunye haya yanawasha sana na ukijikuna yanatoa kama unga unga hivi. Nimeenda hospital kama Kairuki, Ilala afya centre daktari anaangalia anakupatia tube.
Hizo tube nimetumia miezi hiyo lakini sijapata nafuu na sasa tatizo linaendelea.
Naomba ushauri wenu wakuu
Kwani akitumia ndo atapona na kama kuna yule mwingine anatengeneza himaya yake. Tumshauri ahifadhi picha nzuri kabla ya kuingia itasaidia wakati wa kumsabahi🤣Tsh 1,000 unapata condom 3. Sasa tamaa ya nyama kwa nyama inamsumbua mpaka atumie malaki
mapunye ni fungus lakini herpes ni virus.Herpes zoster!! Umeyakanyaga. Kwa nini hamtumii condoms lakini?
OkayTafuta whitefield jar ile ya kikopo sio ya tube
Mimi io hali ilinitokea km miezi miwili nilikuwa nikitoka kuoga ndio nawashwa sana nikapona
Bahati mbaya si mtu wa aina hiyo.Tsh 1,000 unapata condom 3. Sasa tamaa ya nyama kwa nyama inamsumbua mpaka atumie malaki
Umejiridhisha vipi kwamba kaingia pango la vimbwenerehi?Usimtishe."Afutaloo" ngwengwe haitishi kama "kishuga"!Tsh 1,000 unapata condom 3. Sasa tamaa ya nyama kwa nyama inamsumbua mpaka atumie malaki
Ahsante nitamtafutaMkuu pole kwa tatizo.
Jambi ama tiba ya kwanza ni kuoga mara tatu au nne kutwa. La pili nakuwekea namba hapa ya daktari mpigie atakutibu hizo ishu zinazokutesa
0717442080 DKt. Mgomo
Wakuu kwa miezi kadhaa kama minne hivi ninekuwa na tatizo la kuota mapunye sehemu za tumboni, mguuni, mikononi n.k
Mapunye haya yanawasha sana na ukijikuna yanatoa kama unga unga hivi. Nimeenda hospital kama Kairuki, Ilala afya centre daktari anaangalia anakupatia tube.
Hizo tube nimetumia miezi hiyo lakini sijapata nafuu na sasa tatizo linaendelea.
Naomba ushauri wenu wakuu
Asante sana kwa kumsaidia. Herpes zoster kimtaani inaitwa Mkanda wa Jeshi.mapunye ni fungus lakini herpes ni virus.
Maambukizi ya fungus yanaweza kutibika kwa dawa, aende hospitali apatiwe dawa na siyo kupaka siku tatu au nne, ahakikishwe amefuata maelekezo.
Hizo ndiyo visa visababishi vya magonjwa nyemelezi. Kama wewe siyo wa hivyo basi ni mumeoBahati mbaya si mtu wa aina hiyo.
Wewe endelea kumtetea, asije akaisha hadi kufikia uzito wa kukuUmejiridhisha vipi kwamba kaingia pango la vimbwenerehi?Usimtishe."Afutaloo" ngwengwe haitishi kama "kishuga"!
Hivi,the highest weight ya kuku ni kilo zinga?Wewe endelea kumtetea, asije akaisha hadi kufikia uzito wa kuku