Kilongwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 423
- 116
Source: AfroIT
Je una akaunti ngapi za google? Inakuwaje endapo mtoto,mke au rafiki yako anataka kutumia google
akaunti yake kwenye kompyuta yako bila kutoka kwenye akaunti yako? Google imesikiliza kilio
chetu. Na sasa ipo njiani kukamilisha moja ya feature ambayo itamuwezesha mtumiaji kusign in kwenye
akaunti zaidi ya moja kwa pamoja. Binafsi nimeipenda sana hii feature kwani itaokoa muda
sana,fikiria zamani ulitakiwa kusign out kwenye akaunti moja kabla ya kusign in akaunti nyingine
pindi utumiapo kompyuta moja.
Kulingana na mfumo wa sasa,unaweza kusign in kwa kutumia akaunti mbili tu,moja ni akaunti ya
google na nyingine ni akaunti ya Google Apps.Hii ya kwanza mfano ni gmail na hii ya pili ni kama
kwa wale wanaotumia google applications kama google ads,madevelopers nk.
Utata ambao upo ni kuwa hadi sasa huwezi kusign in kwenye akaunti binafsi zaidi ya moja,kwa mfano
kuna mtu wana akaunti za gmail zaidi ya moja,pindi atumapo e mail anataka kuchagua atume hiyo e
mail kutumia akaunti ipi.Kuna sababu nyingi za kutumia akaunti zaidi ya moja,kwa mfano unaweza
kutumia moja kwa ajili ya mambo ya kikazi na nyingine ikawa kwa ajili ya mambo ya kifamilia
vilevile nyingine kwa ajili ya kazi za online,kwani kama tulivyowahi kudokeza umuhimu wa
kutofautisha akaunti kulingana na matumizi husika.
Baada ya kusikiliza malalamiko toka kwa wateja wake,google wameamua kuja na hii kitu mpya ambacho
kwasasa kipo kwenye makamilisho na majaribio,kazi ikikamilika,baada ya kusign in kwenye akaunti yako utakuwa
na uwezo wa kuchagua akaunti mbalimbali kulingana na matumizi yako binafsi hivyo kazi itakuwa
rahisi zaidi.
Binafsi bado haijatokea kwenye akaunti yangu ingawa kwenye mitandao wameshatuma picha ya jinsi
itakavyokuwa,inafanana sana na ilivyo kwenye qq(mtandao mkubwa na wenye watumiaji wengi
China),kwani hawa jamaa wa qq walishakuwa na hii feature miaka kibao huko nyuma kama
inavyoonekana kwenye picha.
Ili kuweza kufaidi , unatakiwa kwenda kwenye Google Account page, halafu ukubali kulogin kwenye
akaunti zaidi ya moja - Kwa sasa hii feature bado ipo njiani. Google wanasema mambo mazuri zaidi
yaja.
Usikose kutembelea AfroIT kwa mada mbalimbali za ICT zinazowalenga waswahili kwa 100%.
Je una akaunti ngapi za google? Inakuwaje endapo mtoto,mke au rafiki yako anataka kutumia google
akaunti yake kwenye kompyuta yako bila kutoka kwenye akaunti yako? Google imesikiliza kilio
chetu. Na sasa ipo njiani kukamilisha moja ya feature ambayo itamuwezesha mtumiaji kusign in kwenye
akaunti zaidi ya moja kwa pamoja. Binafsi nimeipenda sana hii feature kwani itaokoa muda
sana,fikiria zamani ulitakiwa kusign out kwenye akaunti moja kabla ya kusign in akaunti nyingine
pindi utumiapo kompyuta moja.
Kulingana na mfumo wa sasa,unaweza kusign in kwa kutumia akaunti mbili tu,moja ni akaunti ya
google na nyingine ni akaunti ya Google Apps.Hii ya kwanza mfano ni gmail na hii ya pili ni kama
kwa wale wanaotumia google applications kama google ads,madevelopers nk.
Utata ambao upo ni kuwa hadi sasa huwezi kusign in kwenye akaunti binafsi zaidi ya moja,kwa mfano
kuna mtu wana akaunti za gmail zaidi ya moja,pindi atumapo e mail anataka kuchagua atume hiyo e
mail kutumia akaunti ipi.Kuna sababu nyingi za kutumia akaunti zaidi ya moja,kwa mfano unaweza
kutumia moja kwa ajili ya mambo ya kikazi na nyingine ikawa kwa ajili ya mambo ya kifamilia
vilevile nyingine kwa ajili ya kazi za online,kwani kama tulivyowahi kudokeza umuhimu wa
kutofautisha akaunti kulingana na matumizi husika.
Baada ya kusikiliza malalamiko toka kwa wateja wake,google wameamua kuja na hii kitu mpya ambacho
kwasasa kipo kwenye makamilisho na majaribio,kazi ikikamilika,baada ya kusign in kwenye akaunti yako utakuwa
na uwezo wa kuchagua akaunti mbalimbali kulingana na matumizi yako binafsi hivyo kazi itakuwa
rahisi zaidi.
Binafsi bado haijatokea kwenye akaunti yangu ingawa kwenye mitandao wameshatuma picha ya jinsi
itakavyokuwa,inafanana sana na ilivyo kwenye qq(mtandao mkubwa na wenye watumiaji wengi
China),kwani hawa jamaa wa qq walishakuwa na hii feature miaka kibao huko nyuma kama
inavyoonekana kwenye picha.
Ili kuweza kufaidi , unatakiwa kwenda kwenye Google Account page, halafu ukubali kulogin kwenye
akaunti zaidi ya moja - Kwa sasa hii feature bado ipo njiani. Google wanasema mambo mazuri zaidi
yaja.
Usikose kutembelea AfroIT kwa mada mbalimbali za ICT zinazowalenga waswahili kwa 100%.