Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.hata zile mbwembwe za kukamatwa watu Tisa kwenye utekakaji wa Bonge Kiluvya ni uongo Tu
Amefutwa kazi au imekuwajeKtk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.
Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
Kudadekiiiiiiiiiiiiiiii. Si nimeona jana wamekula pingu mchana kweupe kabisa wakishushwa kwenye PT.Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.
Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
Kama umeamini uongo wa jeshi la polisi Tanzania basi na wewe ni muongo, maana jeshi la polisi ndiyo waongo namba moja tanzaniaKudadekiiiiiiiiiiiiiiii. Si nimeona jana wamekula pingu mchana kweupe kabisa wakishushwa kwenye PT.
Ipo siku tuKwenye taarifa ya polisi kuhusu tetesi za kutekwa kwa Alphonce LUSAKO ,Account ya Twitter ya polisi Imefungwa reply. Cha ajabu wale wote wenye vina saba vya CCM wameweza reply kwa kusifia tu.
View attachment 3169858
Kwenye taarifa ya polisi kuhusu tetesi za kutekwa kwa Alphonce LUSAKO ,Account ya Twitter ya polisi Imefungwa reply. Cha ajabu wale wote wenye vina saba vya CCM wameweza reply kwa kusifia t
Angalia waliofunguliwa kureply na status zao !
Mkuu ukiombwa ushahidi utatoa? Au unategemea wakikudaka zile hashtag za maria sarung na genge lake huko X free G4N free G4N huku mwenyewe unakula marungu tu huko 😅😅Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.
Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
Yule Afande Nsato nimesoma naye shule yetu ilikuwa na DIVISION IV mbili tuKtk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.
Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.