Mapya sakata la Lusako: Polisi wafunga reply kwenye account yao

Mapya sakata la Lusako: Polisi wafunga reply kwenye account yao

BLS

Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
83
Reaction score
152
Kwenye taarifa ya polisi kuhusu tetesi za kutekwa kwa Alphonce LUSAKO ,Account ya Twitter ya polisi Imefungwa reply. Cha ajabu wale wote wenye vina saba vya CCM wameweza reply kwa kusifia tu.
Screenshot 2024-12-05 205059.png
 
Wanadai hawakuwa wanamkamata yeye lakini gari lake wamelipeleka police🙄🙄 hata zile mbwembwe za kukamatwa watu Tisa kwenye utekakaji wa Bonge Kiluvya ni uongo Tu. Matukio haya wanayafanya POLISI. Bahati mbaya Kwa Mzee Kibao hakukuwa na ushahidi lakini Damu/ maumivu yake yataenda na wengi😭😭😭
 
hata zile mbwembwe za kukamatwa watu Tisa kwenye utekakaji wa Bonge Kiluvya ni uongo Tu
Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.

Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
 
Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.

Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
Amefutwa kazi au imekuwaje
 
Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.

Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
Kudadekiiiiiiiiiiiiiiii. Si nimeona jana wamekula pingu mchana kweupe kabisa wakishushwa kwenye PT.
 
Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.

Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
Mkuu ukiombwa ushahidi utatoa? Au unategemea wakikudaka zile hashtag za maria sarung na genge lake huko X free G4N free G4N huku mwenyewe unakula marungu tu huko 😅😅
 
Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.

Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
Yule Afande Nsato nimesoma naye shule yetu ilikuwa na DIVISION IV mbili tu
 
Back
Top Bottom