wakuu, Mambo sasa si shwari tena chuoni SAUT,mgombea wa kiti cha urais wa chuo aliyeshindwa bwana Peter Bega,amekata rufaa kupinga kutangazwa mshindi bwana Dovakamwene Mcheshi,aliyeibuka mshindi kwenye uchaguzi wa nafasi ya urais chuoni hapo,uchaguzi huo uliofanyika tarehe 12/4/2013 chuoni hapo,katika madai yake ya msingi bwana Bega anayakatia rufa mambo yafuatayo,
1.Mchakato mzima kugubikwa na uchama,
2.Tume ya uchaguzi kuundwa na asilimia kubwa na wanachama wa CHADEMA
3.Anadai kuchakachuliwa matokeo
4. Anadai Kwenye chumba cha kuhesabia kura ,baadhi ya mawakala kuonyesha alama ya vidole viwili mala tu baada ya kuhesabiwa na kujumlisha matokeo
5. Kutumia mitandao ya kijamii (JF na facebook page ya CHADEMA SAUT)kumchafua na kumuhusisha na CCM hali iliyopelekea kura zake kupungua
7. Kuwashawishi watu wasimchague kwa kuwa ana SUPLEMENTALLY 2,
8. Kutuma sms za kumchafua
Kwa upande mwingine wanaCHADEMA SAUT wamemshukia vikali mwenyekiti wa BAVICHA bwana John Heche wakimlaumu kwa kutoa kauli ya kejeli kwa viongozi na wanaCHADEMA SAUT kwa kuwambia hawajafanya kazi yoyote ya maana kwenye uchaguzi huo kwa maana kwamba kama wangekuwa wamefanya kazi ipasavyo mwanachama wao alieshinda uchaguzi huo asingeshinda kwa tofauti ya kura 188 tu.
Akiongea mmoja wa wanachama alisema"me namshangaa bwana Heche yupo makao makuu na haelewi ni kwa jinsi gani uchaguzi huu ulikuwa mgumu,sababu CCM mkoa walikuwa wamemwaga fedha nyingi kuhakisha mgombea wetu anashindwa na wao ashinde,nashangaa leo anaibuka kiongozi mkubwa wa BAVICHA na kuanza kubwabwaja maneno ya kuudhi na kukatisha tamaa wakati hawakutoa msaada wa aina yoyote kwenye tawi ili kupambana na CCM na taarifa walikuwa nao za kila kilichokuwa kinaendelea.
"Mtakumbuka awali niliwadokeza wana JF kuwa uchaguzi huo sasa umechukua sura ya u-CCM na UCHADEMA kutokana na wagombea wote wawili kuwa wanachama wa vyama hivyo, na mpaka sasa kuna zinasema kuna mashinikizo kutoka CCM mkoa na baadhi ya wahadhili wa chuo hicho wakimtaka bwana Bega akate rufaa na huku ikidaiwa hata mwanasheria alia aliemwandikia rufaa hiyo fedha amepewa na CCM mkoa wa Mwanza.
1.Mchakato mzima kugubikwa na uchama,
2.Tume ya uchaguzi kuundwa na asilimia kubwa na wanachama wa CHADEMA
3.Anadai kuchakachuliwa matokeo
4. Anadai Kwenye chumba cha kuhesabia kura ,baadhi ya mawakala kuonyesha alama ya vidole viwili mala tu baada ya kuhesabiwa na kujumlisha matokeo
5. Kutumia mitandao ya kijamii (JF na facebook page ya CHADEMA SAUT)kumchafua na kumuhusisha na CCM hali iliyopelekea kura zake kupungua
7. Kuwashawishi watu wasimchague kwa kuwa ana SUPLEMENTALLY 2,
8. Kutuma sms za kumchafua
Kwa upande mwingine wanaCHADEMA SAUT wamemshukia vikali mwenyekiti wa BAVICHA bwana John Heche wakimlaumu kwa kutoa kauli ya kejeli kwa viongozi na wanaCHADEMA SAUT kwa kuwambia hawajafanya kazi yoyote ya maana kwenye uchaguzi huo kwa maana kwamba kama wangekuwa wamefanya kazi ipasavyo mwanachama wao alieshinda uchaguzi huo asingeshinda kwa tofauti ya kura 188 tu.
Akiongea mmoja wa wanachama alisema"me namshangaa bwana Heche yupo makao makuu na haelewi ni kwa jinsi gani uchaguzi huu ulikuwa mgumu,sababu CCM mkoa walikuwa wamemwaga fedha nyingi kuhakisha mgombea wetu anashindwa na wao ashinde,nashangaa leo anaibuka kiongozi mkubwa wa BAVICHA na kuanza kubwabwaja maneno ya kuudhi na kukatisha tamaa wakati hawakutoa msaada wa aina yoyote kwenye tawi ili kupambana na CCM na taarifa walikuwa nao za kila kilichokuwa kinaendelea.
"Mtakumbuka awali niliwadokeza wana JF kuwa uchaguzi huo sasa umechukua sura ya u-CCM na UCHADEMA kutokana na wagombea wote wawili kuwa wanachama wa vyama hivyo, na mpaka sasa kuna zinasema kuna mashinikizo kutoka CCM mkoa na baadhi ya wahadhili wa chuo hicho wakimtaka bwana Bega akate rufaa na huku ikidaiwa hata mwanasheria alia aliemwandikia rufaa hiyo fedha amepewa na CCM mkoa wa Mwanza.