Mara kamati mara tume.

Mara kamati mara tume.

ANTHONY KWEKA

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
958
Reaction score
379
Hivi inamaana hawa viongozi watz wametuona sie mabongolala sana.
Kwamba sababu za kufeli kwa wanafunz wa shule ya msingi na form 4 hazifahamiki coz tangu mwaka 2007 hadi 2012 chart inashuka tu. Ile tume ya kwanza matokeo yake kapuni.
 
Pinda ameongeza nyingine inaitwa 'kikosi kazi'

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom