LGE2024 MARA: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

LGE2024 MARA: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

WanaJF,​

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mara. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine.

Mara.jpg

Mkoa wa Mara uko Kaskazini Magharibi mwa Tanzania, una historia tajiri na ya kipekee inayohusisha makabila mbalimbali, harakati za uhuru, na urithi wa kihistoria wa ukanda wa Ziwa Victoria. Mkoa huu hukaliwa na makabila ya Wakuria, Wajita, Waluo, Wazanaki, Waisenye, na Wagusu

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA MARA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

Idadi ya Watu
Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Mara uliandikisha idadi ya watu wapatao 1,743,830

Wilaya za Mkoa wa Mara

  • Musoma Mjini - Hii ni wilaya ya mji mkuu wa Mkoa wa Mara, Musoma.
  • Musoma Vijijini
  • Bunda
  • Tarime
  • Rorya
  • Serengeti
  • Butiama
SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi
Mkoa wa Mara una jumla ya Majimbo ya uchaguzi Tisa
Musoma Mjini
Musoma Vijijini
Rorya
Bunda Mjini
Bunda Vijijini
Serengeti
Tarime Mjini
Tarime Vijijini
Mwibara

Viunganishi vinavyohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 mkoa wa Mara

 

WanaJF,​

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mara. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine.

Mkoa wa Mara uko Kaskazini Magharibi mwa Tanzania, una historia tajiri na ya kipekee inayohusisha makabila mbalimbali, harakati za uhuru, na urithi wa kihistoria wa ukanda wa Ziwa Victoria. Mkoa huu hukaliwa na makabila ya Wakuria, Wajita, Waluo, Wazanaki, Waisenye, na Wagusu

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA MARA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

Idadi ya Watu
Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Mara uliandikisha idadi ya watu wapatao 1,743,830

Wilaya za Mkoa wa Mara

  • Musoma Mjini - Hii ni wilaya ya mji mkuu wa Mkoa wa Mara, Musoma.
  • Musoma Vijijini
  • Bunda
  • Tarime
  • Rorya
  • Serengeti
  • Butiama
SOMA PIA: Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi
Mkoa wa Mara una jumla ya Majimbo ya uchaguzi Tisa
Musoma Mjini
Musoma Vijijini
Rorya
Bunda Mjini
Bunda Vijijini
Serengeti
Tarime Mjini
Tarime Vijijini
Mwibara

Viunganishi vinavyohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 mkoa wa Mara

Kina Mura leo wataamua nini? Wacha tuone kama Mahondaw na Smart wake wanavyosemaga
 
Back
Top Bottom