Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
WanaJF,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Mara. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA MARA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.
Idadi ya Watu
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Mara ni 2,372,015; wanaume 1,139,511 na wanawake 1,232,504, yenye jumla ya wilaya 7.
Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi
Mkoa wa Mara una jumla ya Majimbo ya uchaguzi Kumi
- Jimbo la Musoma Mjini
- Jimbo la Musoma Vijijini
- Jimbo la Rorya
- Jimbo la Butiama
- Jimbo la Bunda Mjini
- Jimbo la Bunda
- Jimbo la Serengeti
- Jimbo la Tarime Mjini
- Jimbo la Tarime Vijijini
- Jimbo la Mwibara
Hayati John Magufuli kupitia CCM alipata kura nyingi, akishinda kwa zaidi ya asilimia 80.
Katika Ubunge, CCM ilifanikiwa kushinda majimbo yote, huku CHADEMA ikipoteza baadhi ya ngome zake muhimu kama jimbo la Tarime Mjini, Tarime Vijijini, Bunda
Kwa upande wa udiwani, CCM pia ilishinda kata nyingi, na kufanya mkoa wa Mara kuongozwa zaidi na chama tawala kwenye ngazi zote za kisiasa.
Kama ilivyo kwa udiwani sehemu kubwa nchini, pia kwa mkoa wa Mara Vyama vya Upinzani vilipata changamoto za wagombea wao kuenguliwa kutokana na matatizo ya kisheria au kutokidhi vigezo
Updates
January
- Kuelekea 2025 CHADEMA Mara: Mbowe akikataa ushauri tutakutana kwenye Sanduku la Kura, waenda na Lissu na Heche
- Pre GE2025 - PICHA: Sikuwahi kufikiria kama Mzee Wassira anapendwa na Wananchi kiasi hiki
- Pre GE2025 - Wasira: Uchaguzi wa CHADEMA, viongozi wa kitaifa waligawana fito
- Pre GE2025 - Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA
- Pre GE2025 - Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime
- Pre GE2025 - Mwenyekiti CHADEMA, Mara Heche: Wasira aachane na vijana, afanye mambo ya umri wake
- Pre GE2025 - John Heche: Wabunge wamegeuka machawa wa Rais. Wanalipwa Milioni 18 kwa mwezi, kwa siku Laki 6 ambazo ni Kodi zenu!
- Pre GE2025 - Heche: Wasira ana haki ya kusinzia, tusimlaumu. Asema CCM inarejesha Viongozi waliochoka
- Pre GE2025 - John Heche: Tupo tayari kufa kulinda msimamo wa CHADEMA na maslahi ya Wananchi, Rais wa Tanzania amegeuka kuwa Mungu
- Pre GE2025 - Chacha Heche: CHADEMA hakuna vibaka wala sio kweli chama hicho kilikuwa kinachukua vijana kutoka Tarime na kwenda kuwatumia kufanya fujo
- Pre GE2025 - John Heche: Dkt. Slaa akifia Gerezani, Rais Samia atawaambia nini Wananchi? Uonevu ni kitu kibaya
- Pre GE2025 - Mwita Waitara: John Heche ni mwanafunzi wangu kisiasa, hawezi nitisha uchaguzi Tarime
- Pre GE2025 - Wakili Dickson Matata: Kauli za RC Chalamila ni zao la uongozi mbovu
- Pre GE2025 - Mwenyekiti wa CCM Mara awa kituko mbele ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara. Asema kama amnifurahishi na wateteaje
- Pre GE2025 - Waziri mkuu: Mpango wetu CCM ni kuhakikisha wagombea wetu watakapopita kwenye maeneo yetu wasipate kazi kubwa kueleza miradi ya maendeleo
- Pre GE2025 - Mbunge wa Rorya, Jafari Chege amewawetaka wananchi wa Kata hizo kutambua dira ya maendeleo tangu walipokuwa, walipo sasa na wanakoelekea
- Pre GE2025 - Pambalu: Tuachane na Wasira tupambane na Samia
- Pre GE2025 - RC Mara aagiza kusakwa kwa Mbunge wa Mwibara, adai ni mtoro hajawahi kumuona
- Pre GE2025 - Mbunge wa Rorya Jafari Chege akamalisha madarasa yaliojengwa kwa nguvu za wananchi
- Pre GE2025 - Mara: Jimbo la uchaguzi Serengeti kugawanywa kuwa majimbo mawili, Serengeti Mashariki na Serengeti magharibi