Mara: Mfanyabiashara adaiwa kutoweka baada ya kuchukuliwa na watu waliojitambulisha kama "Usalama Wa Taifa". Mkewe azungumza kilichotokea!

Vipi unampango wa kwenye porini? Angalia usije ukaliwa na simba huko porini mkuu!
 
Inasikitisha sana
Vijijini huko zamani kulikuwa na ushirikiano kweli ukipiga tu mwano ( yowe) hatoki mtu lakini siku hizi kutokana na muingiliano na wajita wameanza kuongea kiswahili tangu wakiwa wadogo basi imeanza kuwa taabu, enzi zetu kiswahili unaenda kujifunza shuleni. Mambo yalikuwa bora sana
 
Ishu za wavuvi Zina sarakasi nyingi sana nyuma ya pazia,kwanini wamuulize hizo namba za simu? vyombo hivi kukufata wana zaidi ya 75% ya kile wanachokifata kwako,kwa wale walioko kanda ya ziwa wanajua ukatili uliopo ziwani
Mtu akituhumiwa jinai ndivyo sheria inavyotaka wafanye - kumchukua na kumpeleke nduguze wasikokujua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…