Mara mseme hatuna nguvu za kiume, mara tuache kuzaa sana - tushike lipi sasa?

Mara mseme hatuna nguvu za kiume, mara tuache kuzaa sana - tushike lipi sasa?

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Kuzaliwa mwanaume kweli mateso.

Yaani wanatafuta sababu ili watutukane mara hatuna nguvu za kiume, ooohh tunatumia pweza mara vumbi la kongo.

Tunaomba mtueleze ina maana mkitundikwa mimba nalo ni kosa? Huu ni unyanyasaji mnajua kazi ya maziwa mgando, karanga mbichi, sato, sangara, na ugali wa muhogo na dona jumlisha mihogo ya kuchemsha na viazi vitamu?

Sasa mtu anapata chakula cha namna hiyo anaachaje kutundika mimba kila siku?

Mnatakiwa sasa mtupe uelekeo kauli ipi tuishike sio kutusengenya kila wakati haifai, Wanaume tushikamane hawa wana ajenda ya siri.
 
Uzazi wa mpango sio mashindano ya kusimamisha.
morganthink.png
 
Sikiliza middle class wewe uchumi unakua kwa 4.5%, na Watanzania wanaongezeka kwa 3.4%,hii sio sawa ,itaichukua Botswana 50yrs kufikia idadi ya wakaazi wa Dar (more than 7M!) tuache kuzaana, acha kuleta watoto duniani ambao huwezi kuwatunza! Condomise au zinakubana!
 
Uzazi wa mpango sio mashindano ya kusimamisha.

Acha wakung’utwe mimba na kliniki tutawasindikiza lazima tufuate amri ya Mungu kua tuijaze dunia maana tukileta uzembe huko peponi tutaulizwa yaani Mungu atasema kwahiyo ulipuuzia kuijaza dunia? Tutajibu nini sasa
 
Sikiliza middle class wewe uchumi unakua kwa 4.5%,na watanzania wanaongezeka kwa 3.4%,hii sio sawa ,itaichukua Botswana 50yrs kufikia idadi ya wakaazi wa Dar(more than 7M!),tuache kuzaana ,acha kuleta watoto duniani ambao huwezi kuwatunza!,condomise au zinakubana!

Condom ya nini acha watu wazae tusikiuke maandiko ya dini
 
Acha wakung’utwe mimba na kliniki tutawasindikiza lazima tufuate amri ya Mungu kua tuijaze dunia maana tukileta uzembe huko peponi tutaulizwa yaani Mungu atasema kwahiyo ulipuuzia kuijaza dunia? Tutajibu nini sasa
"Za kuambiwa changanya na zako" ina maana Viumbe wengine kama Wanyama pori nao waishi wapi tukiijaza Dunia Mimea Miti na Vinyama vya Mwitu vyote vipotee

Au tupandane tu kama Mahayawani?
[]
 
Back
Top Bottom