Mara nyingi unakuta ile familia ilio na uwezo wa fedha zaidi katika ukoo ndio inakuwa "centre of discussion" hata kama unakuta hawatafuti attention

Mara nyingi unakuta ile familia ilio na uwezo wa fedha zaidi katika ukoo ndio inakuwa "centre of discussion" hata kama unakuta hawatafuti attention

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Yani unaweza kuta mama A na mama B wana watoto wamezalia nyumbani mara mbili mfululizo ila maongezi yao kwa asilmia ni kudiscuss na kukosoa mambo ya huyo ndugu yao na familia yake.

Na ole wake, Baba afe amtangulie mama, "oooh kamuua mwanaume ili abaki na mali arithi na wanawe na ale na wanaume wake"

Vijana wa watoto matajiri kosa apite bila kutoa salamu kwa moja ya ndugu, aisee hadi simu zinapigwa "aisee huyu dogo hajui baba yake aliishi kwa baba yangu kipindi anajitafuta, anajiona amefiiika"

UMASIKINI NI MZIGO, tuzisake wakuu lakini tukizikosa still tusiwe vichomi.
 
Yani unaweza kuta mama A na mama B wana watoto wamezalia nyumbani mara mbili mfululizo ila maongezi yao kwa asilmia ni kudiscuss na kukosoa mambo ya huyo ndugu yao na familia yake.

Na ole wake, Baba afe amtangulie mama, "oooh kamuua mwanaume ili abaki na mali arithi na wanawe na ale na wanaume wake"

Vijana wa watoto matajiri kosa apite bila kutoa salamu kwa moja ya ndugu, aisee hadi simu zinapigwa "aisee huyu dogo hajui baba yake aliishi kwa baba yangu kipindi anajitafuta, anajiona amefiiika"

UMASIKINI NI MZIGO, tuzisake wakuu lakini tukizikosa still tusiwe vichomi.
Mungu mwema,pambana bila kuchoka!
 
Yani unaweza kuta mama A na mama B wana watoto wamezalia nyumbani mara mbili mfululizo ila maongezi yao kwa asilmia ni kudiscuss na kukosoa mambo ya huyo ndugu yao na familia yake.

Na ole wake, Baba afe amtangulie mama, "oooh kamuua mwanaume ili abaki na mali arithi na wanawe na ale na wanaume wake"

Vijana wa watoto matajiri kosa apite bila kutoa salamu kwa moja ya ndugu, aisee hadi simu zinapigwa "aisee huyu dogo hajui baba yake aliishi kwa baba yangu kipindi anajitafuta, anajiona amefiiika"

UMASIKINI NI MZIGO, tuzisake wakuu lakini tukizikosa still tusiwe vichomi.
Inasikitisha sana 😢
 
Back
Top Bottom