Mngurimi
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 819
- 790
Habari za wakati huu wadau?
Kwa wale wanaomwamini katika dini haijalishi ya kikristo au kiislamu huwa kuna dhana fulani hivi ambayo hufanya watu waogope kutenda dhambi. Wengi wanaamini kwenye uwepo wa mwisho wa dunia (siku ya kiama) ambayo inaaminika kuwa adhabu zote za watenda maovu zitatolewa na Mungu kisha walio wema wataingia mahali salama.
Sasa ebu tuchukulie mfano yaani kufumba na kufumbua unasikia zile harakati zote ambazo kila siku tunazisikia yaani za mwisho wa dunia na ukaambiwa ndiyo mwisho wa dunia, hivi unadhani hapo ni dhambi gani itakufanya uingie Jehanam kwenye moto wa milele?
Mimi hii dhambi ya uzinzi hakika itafanya niwake moto😂😂😂😂, shusha dhambi yako hapo tucheke.
Kwa wale wanaomwamini katika dini haijalishi ya kikristo au kiislamu huwa kuna dhana fulani hivi ambayo hufanya watu waogope kutenda dhambi. Wengi wanaamini kwenye uwepo wa mwisho wa dunia (siku ya kiama) ambayo inaaminika kuwa adhabu zote za watenda maovu zitatolewa na Mungu kisha walio wema wataingia mahali salama.
Sasa ebu tuchukulie mfano yaani kufumba na kufumbua unasikia zile harakati zote ambazo kila siku tunazisikia yaani za mwisho wa dunia na ukaambiwa ndiyo mwisho wa dunia, hivi unadhani hapo ni dhambi gani itakufanya uingie Jehanam kwenye moto wa milele?
Mimi hii dhambi ya uzinzi hakika itafanya niwake moto😂😂😂😂, shusha dhambi yako hapo tucheke.