Ha ha mi nimehama navyo mkuu..nimekodi kipisi!
Hilo ondoa shaka
Jiandae kisaikolojia mkuu.Hakuna kitu sikipendi kama singeli mkuu...naona zinapigwa sana efm
Singeli kwangu ndo best melodyHakuna kitu sikipendi kama singeli mkuu...naona zinapigwa sana efm
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Anza kujifunza kucheza singeli kama wanaume wa dar mkuu.