Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Mchengerwa alitekeleza agizo la chama bana, kupuuzia haya mambo madogo madogo maana demokrasia yetu ni changa

Kupata habari za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
====
Pia soma: LGE2024 - TAMISEMI yaongeza muda wa kupokea Rufaa za Wagombea wa Serikali za Mitaa, yaagiza walioenguliwa kwa kutodhaminiwa na Vyama warejeshwe
Wananchi Mkoani Mara wameipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kukubali na kuwarudisha kwenye kinyang'anyiro baadhi ya wagombea ambao hawakupitishwa kutokana na sababu mbalimbali. Wamasema kitendo hicho kinaonyesha dhamira njema ya Serikali kuendesha Uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia.
Mchengerwa alitekeleza agizo la chama bana, kupuuzia haya mambo madogo madogo maana demokrasia yetu ni changa

Kupata habari za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
====
Pia soma: LGE2024 - TAMISEMI yaongeza muda wa kupokea Rufaa za Wagombea wa Serikali za Mitaa, yaagiza walioenguliwa kwa kutodhaminiwa na Vyama warejeshwe
Wananchi Mkoani Mara wameipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kukubali na kuwarudisha kwenye kinyang'anyiro baadhi ya wagombea ambao hawakupitishwa kutokana na sababu mbalimbali. Wamasema kitendo hicho kinaonyesha dhamira njema ya Serikali kuendesha Uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia.