LGE2024 Mara: Watu wasiojulikana wavunja ofisi ya kijiji na kuiba masanduku ya kura

LGE2024 Mara: Watu wasiojulikana wavunja ofisi ya kijiji na kuiba masanduku ya kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

BabaMia

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
270
Reaction score
554
Watu wasiojulikana wamevunja ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Nyandewa na wengine kuiba masanduku ya kura na kutokomea nayo kisha kuyatelekeza porini huku watu watano wakikamatwa baada ya kukutwa na silaha mbalimbali, ikiwamo panga na visu kwa lengo la kufanya uhalifu katika zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wilayani Tarime mkoani Mara.

Soma Pia: MARA: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
1732819012187.jpg
 
Kauchaguzi tu kaserikali za mitaa
Kana mabalaaa je huo uchaguzi mkuu si itakuwa funga kazi!

Poleni sana kwa mliyopoteza muda wenu na kupiga kura

Ova
 
Back
Top Bottom