Mara ya kwanza kuangalia mpira wa Ulaya ilikuwa mechi hii

Chelsea 2-1 Arsenal 2008
Ilikuwa pasaka hii siku Didier Drogba aliwaua Arsenal baada ya Bacary Sagna kutangulia
 
kumbe wewe ni kijana mdogo sana aisee !
 
Nadhani tulikuwa pamoja ila hatujuani, mwaka huko naliangalia WC pale bwalo la Polisi Shy mjini.
 
Ilikua Brazil vs Turkey wedikapu 2002, Turkey anakufa goli 2

Hii mechi ndo ilinifanya niupende mpira wa miguu

-upande wa vilabu nilivutiwa sana na Didier Drogba na mourinho, huu ukawa mwanzo wa kuipenda Chelsea.
 
Simba na Yanga uwanja wa Amani
Yanga 2 Simba 0
Mwaka 1975
Fainali kombe la klabu bingwa Africa Mashariki na Kati
Wafungaji .. Marehemu Gibson Sembuli na Sunday Manara
 
Write your reply...ilikuwa mchana mmoja wa 2009 pale nilipo lipa shilingi 300 kuiona timu yangu pendwa ya Man utd kwa mara ya kwanza tulicheza dhidi ya Liverpool, daah sitomsahau Torres a.k.a 'El nino' sema mwisho wa siku nimebaki nakumbukumbu hiyo.
 
Wapi fabrizo ravaneli enzi zake
 
World cup 1994 ila nilikua sijui kitu. Mwaka 1998 ndo nilianza kufatilia rasmi na Michael Owen ndo alikua kivutio kikubwa na ndo mwanzo wa kuishabikia Liverpool mpaka leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…