Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
nimecheka sanaPaul Makonda alikuwa anaitwa Albert Bashite
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Paul Makonda alikuwa anaitwa Albert Bashite
Wewe mtoa post ni limbukeni ktk kushabikia timu za ulaya. Zipo rekodi nzuri na bora zimewekwa na timu ya arsenal pale uingereza na hazijavunjwa ni timu yoyote hadi sasa.Miaka 13 sasa toka Arsenal atwae ubingwa wake wa mwisho EPL, mambo mengi yametokea na hata kupita, tujikumbushe baadhi ya mambo hayo;
1. Kikwete ameingia madarakani ametawala miaka 10 na sasa amestafu.
2. Rais wa Marekani alikuwa ni George Bush.
3. Messi bado alikuwa nyumbani kwao Argentina.
4. Mtandao wa Tigo ulikuwa unaitwa Buzz.
5. JamiiForums ilikuwa bado haijaanzishwa.
6. Chama Kikuu cha Upinzani kilikuwa ni CUF
7. Boko na Bunju kulikuwa ni mapori watu wanaenda kuwinda.
Endelea na wewe...
Hivi kumbe kufungwa Fainali na Barca ni mafanikio? Ningekuwa mimi ndio mtoa mada ningekununulia Pepsi baridiiiiiWewe mtoa post ni limbukeni ktk kushabikia timu za ulaya. Zipo rekodi nzuri na bora zimewekwa na timu ya arsenal pale uingereza na hazijavunjwa ni timu yoyote hadi sasa.
Ni arsenal hawa waliotwaa ubingwa wa epl pasipo kupoteza mechi hata moja licha ya ugumu wa ile ligi ni 2003/2004.
Ndiyo timu pekee iliyotwaa kombe la heshima uingereza mara bingo la FA kuliko timu nyingine yoyote pale kwa malikia.
Ndiyo timu iliyoshiriki mashindano ya uefa mara nyingi kuliko timu yoyote pale uingereza na kupata mafanikio kiuchumi kupitia ushiriki huo.
Imefika fainali ya uefa mara ya mwisho 2006 na kutolewa na Barcelona mara baada ya mchezaji wake golikipa kupewa red card hivyo kulazimika kupunguza mchezaji mmoja ndani ili kuruhusu kuingia golikipa mpya. Bado walitoka 2-1 magoli yote yakipatikana baada ya kucheza pungufu.
Mafanikio ni mengi, kila timu Klabu ina la kujivunia. Timu kama Chelsea, mancity, totenham hazikujulikana kabisa ktk medal ya soka na mashabiki wake mlio wengi ni wale mmetoka majuzi kijijini mmekuja mjini mkajua kuna supersport .
Washabiki halisi wa mpira utawakuta man u, Liverpool, arsenal, everton, newcastle na Aston Villa.
Sasa nyie wa kuja msitusumbue na ujinga wenu wa kuiponda arsenal utadhani ushabiki ni sare mburula nyie hadi tushabikie timu moja.
Nyinyi wengine ni mashankupe tu mnaohama timu kila kukicha na kushinda mitandaoni kutukana mashabiki wa timu nyingine.
Ungejua hakuna mwaka arsenal haijapata kuvuka bila kupata kombe lolote sasa sijui mnataka nini.
Njoo na povu uwezavyo ila najua arsenal ikirudi njia zake vizuri wewe utakuwa shabiki wake mkuu kwa uhamiaji wako haramu ulionao. Tuheshimiane tena tuheshimiane mno.
Arsenal ndiyo chama langu tangu 1994 wewe sijui ulikuwa wapi nisisonge mbele sana juu yako bann isije ikanihusu.
Yaani timu haijawahi fika hata fainali achilia mambo ya kombe na nyingine inaishia makundi bado wewe unaona ni sawa.Hivi kumbe kufungwa Fainali na Barca ni mafanikio? Ningekuwa mimi ndio mtoa mada ningekununulia Pepsi baridiiiii
Wewe mtoa post ni limbukeni ktk kushabikia timu za ulaya. Zipo rekodi nzuri na bora zimewekwa na timu ya arsenal pale uingereza na hazijavunjwa ni timu yoyote hadi sasa.
Ni arsenal hawa waliotwaa ubingwa wa epl pasipo kupoteza mechi hata moja licha ya ugumu wa ile ligi ni 2003/2004.
Ndiyo timu pekee iliyotwaa kombe la heshima uingereza mara bingo la FA kuliko timu nyingine yoyote pale kwa malikia.
Ndiyo timu iliyoshiriki mashindano ya uefa mara nyingi kuliko timu yoyote pale uingereza na kupata mafanikio kiuchumi kupitia ushiriki huo.
Imefika fainali ya uefa mara ya mwisho 2006 na kutolewa na Barcelona mara baada ya mchezaji wake golikipa kupewa red card hivyo kulazimika kupunguza mchezaji mmoja ndani ili kuruhusu kuingia golikipa mpya. Bado walitoka 2-1 magoli yote yakipatikana baada ya kucheza pungufu.
Mafanikio ni mengi, kila timu Klabu ina la kujivunia. Timu kama Chelsea, mancity, totenham hazikujulikana kabisa ktk medal ya soka na mashabiki wake mlio wengi ni wale mmetoka majuzi kijijini mmekuja mjini mkajua kuna supersport .
Washabiki halisi wa mpira utawakuta man u, Liverpool, arsenal, everton, newcastle na Aston Villa.
Sasa nyie wa kuja msitusumbue na ujinga wenu wa kuiponda arsenal utadhani ushabiki ni sare mburula nyie hadi tushabikie timu moja.
Nyinyi wengine ni mashankupe tu mnaohama timu kila kukicha na kushinda mitandaoni kutukana mashabiki wa timu nyingine.
Ungejua hakuna mwaka arsenal haijapata kuvuka bila kupata kombe lolote sasa sijui mnataka nini.
Njoo na povu uwezavyo ila najua arsenal ikirudi njia zake vizuri wewe utakuwa shabiki wake mkuu kwa uhamiaji wako haramu ulionao. Tuheshimiane tena tuheshimiane mno.
Arsenal ndiyo chama langu tangu 1994 wewe sijui ulikuwa wapi nisisonge mbele sana juu yako bann isije ikanihusu.