Nakumbuka mpenz wangu aliniambia anapenda sana kucheka,kujichek mimi sio mcheshi kiviiiiile! Basi nikawa narudi home na mikanda ya vichekesho!! Ila siku moja nikamletea kinywaji akalewa basi akawa anacheeeeka,nikimuulza jina lako nani daaah atavunja mbavu! Nikawa nimegundua mbinu ya kumchekesha badala ya mikanda nikawarudi na vinywaji!!!