Mara ya mwisho....

Nilikuwa namsifia jamaa yangu akaniambia eti nataka kumwibia.
Kila nikimpa sifa ananiambia mwanamke mwizi utamjua tu.
Nikaacha kuwasifia hawa wanaume wetu wa kiafrica hasa wa TZ hawaelewi ukimsifia
 
Eiyer kumbuka mume husisimka kwa kuona...afu love=distance+adventure...adventure (mume) inatengenezwa na jinsi anvyoyaona maumbile yako hata aende wapi atakumbukia tu(nyerere's song niwapo safari nakumbuka mambo mema ya kwetu(mama maria!!)...sifa ni kitu kinachomjenga mke hebu siku mme akukandie kadamnasini itakuwa mbaya....nahitimisha mwanamke aliyependwa(sifiwa) ndiye bora zaidi
 
Kama ni kusifia sifia panapostahili,si kusema tu ili utimize wajibu.
 
MORIA,mke/mume ni wako tu,hutakiwi kuwa mtupu kwake kila mara,hizo sababu ulizozitaja zinahitajika kwa wale ambao ni fake,hawajui kupenda maana yake nini!Na hawa ni wengi sana nowdays that's why divorce kila kukicha!Jiamini mwenzi wako atakukubali tu!
 

leo hauko sarcastic...............kama siku ile..............................maazo mazuri haya...................ingawaje yaweza pia kujenga tabia ya kinafiki ya kusifia mambo ambayo yanakinzana kabisa na vionjo vya moyo wako....................
 
Sijasema kila saa ila ni muhimu kwa mke alijue hili sisi husisimka kwa kuona... na hakuna ufake ktk kufanya hili...ndiyo silaha yako! hata baba yetu isaka alionekana akicheza na mkewe kihasara hasara enzi hizoo..mbona mnawazuia beki3 wasiwe naked? au jaribu kuaga mume unaenda kwa soko ukiwa umevaa vibaya vibaya....divorce ni masuala yenye mlolongo mreeefu unaoanzia mbaali..
 
Kwa kweli mara nyingi sana siwezi kuhesabu ni mara ngapi namsifia na najisikia vizuri kufanya hivyo kwani na yeye ananisifia mara nyingi hivyo ni desturi yetu kusifiana. Ila tuongeze na pole kwa kazi, samahani na ahsante ni vitu muhimu saana kwenye ndoa zetu. Ahsante sana Lizzy kutukumbusha jambo hili muhimu kwa wapendanao!
 
Nilikuwa namsifia jamaa yangu akaniambia eti nataka kumwibia.
Kila nikimpa sifa ananiambia mwanamke mwizi utamjua tu.
Nikaacha kuwasifia hawa wanaume wetu wa kiafrica hasa wa TZ hawaelewi ukimsifia
Aisee, pole sana, yaani huyu inaonekana yuko addicted na kitu fulani, pole lakini usikate tamaa endelea kumsifia unapoona kweli amefanya vizuri, pia jaribu kufuatilia historia yake huenda kuna kitu in the past kilichomuathiri kisaikolojia
 
MORIA,mimi siku nikija oa nakuhakikishia kuwa mwili wa huyo mke wangu hautakuwa kigezo cha mimi kuwa nae,kuwa naked kwa hg sio sawa kwani anatakiwa ajisitiri,pia hata kama akitoa nguo zote bado mwenye maamuzi ya kuchukua hatua yoyote ni mimi!Utupu wake hauwezi kuwa kigezo!
 


My dear umeongea yoote, ubarikiwe sana.
 

...nice one Lizzy, ...mkiwa faragha, ukiwa kazini, safarini, nk...msifie kila unapomkumbuka.
 
Sifa muhimu check song of songs jamaa alivomwaga mistari
 
ukikasoma haka katoto (Lizzy) utagundua kenyewe kako demanding na kanapenda 'kufanyiwa' na sio kufanya...it is complicated and very strange how one can be such demanding ... pole kwa bhana 'ake!!
Woww....asante kwa kunielewa.Kama mhusika angekaua ananielewa kama ulivyonielewa wewe ningekua na furaha sana.
 
Naogopaga mke wangu kuona Biology yangu...Liizy leo tu nimemwambia bibie...wewe mzuri katoa sauti ya kile kicheko cha taarabu...nikanyamaza kimya....sitajaribu tena kusifia...
Sasa sindo kafurahi....ama?!
 
MyK watu wanaolewa sifa wapo...na kama asingelewa kwako angelewa mtaani akaona we huoni uzuri wake acha aende kwa wanauona.Kwahiyo kwa vyovyote vile hamna ulichokosea.Kuhusu mimi we nisifie tu bwana hata kama urefu wangu ni nusu wa unaouona kwenye avatar...au umbo ni mara mbili wa unaloliona.
 
Nilikuwa namsifia jamaa yangu akaniambia eti nataka kumwibia.Kila nikimpa sifa ananiambia mwanamke mwizi utamjua tu.Nikaacha kuwasifia hawa wanaume wetu wa kiafrica hasa wa TZ hawaelewi ukimsifia
Hahahaha....atakua alikua haamini sifa unazompa.Kuna watu hua hawajioni kama wanavyoonekana kwa wengine....hata akiwa na akili sana ye anajiona wa kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…