wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Nakumbuka kipindi nimekuja mjini pale sehemu nilipokuwa nakaa nje ya ile nyumba kulikuwa na kama kijisenta fulani hivi cha watu mbalimbali kukutana!wengine wanacheza drafti!wengine karata!!wengine bao!wengine pool table! Na wengine wanauza chipsi!wengine kahawa!wengine tangawizi!!sasa pale kulikuwa na wazee wa hekima wanakunywa kahawa mimivpale nikawa nawashaa hivi ni tam?
Maana anakunywa ikiisha anaweka ingine! Basi pale mtu mzima nikajipa ukakamavu kama mwenyeji nikasogea pembeni nikaiita lete kahawa!... bana mtu mzima nikapewa ile nimeweka mdomoni tuu.......lahaulaaaaaa.
Wakuu subirini kidogo nitawamalizia nimeitwa ofsini na mkuu wangu!!!!!
Maana anakunywa ikiisha anaweka ingine! Basi pale mtu mzima nikajipa ukakamavu kama mwenyeji nikasogea pembeni nikaiita lete kahawa!... bana mtu mzima nikapewa ile nimeweka mdomoni tuu.......lahaulaaaaaa.
Wakuu subirini kidogo nitawamalizia nimeitwa ofsini na mkuu wangu!!!!!