Maradhi hayo yapo, sijui ni ugonjwa gani. Picha inasisimua sana mwili. Wanaojua ni ugonjwa gani watujuze nina ndugu anao kma huo, ila hii imezidi sana.
Hakika Magonjwa ya kutisha namna hii ndo huwa yanafanya mimi kutokuwa mlalamikaji sana mbele ya Mungu na mbele ya watu maana Duniani kuna watu wenye shida kubwa kuliko mimi,Km nilikuwa ninaumwa nikiwaangalia watu wa namna hii ninapona kabisa.