Maradhi yote Ugua ila kuchacha usiombee!!

 
Pesa zinatafutwa Bwashee! Ila kuna hayo maradhi niliyo kutajia, hata uwe na hizo pesa kiasi gani bado utaishi maisha ya mateso tu.

Hivyo nitakupinga mpaka mwisho kusema eti bora maradhi kuliko kuchacha!!!
 
 
Alieimba huu wimbo alifikiria sana kifalsafa. Kama sina senti mfukoni kichwa kinauma, ila nikiwa nazo hata malaria inakaa mbali na mimi. Ulimwenguni unaishi kwa raha ukiwa na pesa. Wenye dini zao mtanishambulia ila ni ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…