Maradhi.

Songo

Member
Joined
Sep 2, 2011
Posts
5
Reaction score
0
Jamani waungwana wapenzi ukurasa huu wa jamii naombeni msaada.minasumbuliwa na utiwa mgongo miaka mitano nazaidi nimehangaika kila hospitali na c.t.scan nimfanya mara2hakuna tatizo lkn ninaumwa
 
kuna disk nasikia zinaachiaga hapo mgongoni, nenda kwa wataalam MOI
 
Pole sana mkuu. Mungu atakujaalia utapona haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…