Maradona hana Europa cup?

Jibu kama umelewa. Issue ni koma tu hapo...

Acha siasa na kwenye hakuna

Kwani Title ipoje?
unaanzisha mada halafu unataka kucontro hadi post za washirik kwa sababu heading tu upo chaka mess hajashinda europa league yeye kashinda eufa champions league
 
[emoji1] [emoji1] wewe kweli Enzymes sasa umeleta mada baada utulie ueleweshwe unapanic tena
Jibu swali. Hujui una tulia. Wanao jua watajibu
 
unaanzisha mada halafu unataka kucontro hadi post za washirik kwa sababu heading tu upo chaka mess hajashinda europa league yeye kashinda eufa champions league
Una jibu kama ulivyo elewa as compared to messi. Na siyo lazima ku comment
 
unaanzisha mada halafu unataka kucontro hadi post za washirik kwa sababu heading tu upo chaka mess hajashinda europa league yeye kashinda eufa champions league
Yaan imebidi nimuache tu maana nimegundua hajui chochote kuhusu mpira sanasana anaonekana anamshabikia Messi ndo maana mtu akimuongelea Ronaldo anakasirika
 
Yaan imebidi nimuache tu maana nimegundua hajui chochote kuhusu mpira sanasana anaonekana anamshabikia Messi ndo maana mtu akimuongelea Ronaldo anakasirika
Swali lina jieleza. Maomba ufafanuzi. Unaweza kujibu. Sasa kuleta hapa sifa eti ww ndie unajua zaidi, sijui messi hana chochote ni sifa za kitoto.
 

Wanavipindi humu jf au unajifunza kupost vitu?
 
Yaan imebidi nimuache tu maana nimegundua hajui chochote kuhusu mpira sanasana anaonekana anamshabikia Messi ndo maana mtu akimuongelea Ronaldo anakasirika

Msamehe dogo ashapiga li faru john
 

Na hayo ndo mashindano gani?
 
Next time tuliza akili unapost vitu usaidiwe hakuna cha ujuaji wala ushabik.
Na huna uwezo wa kujibu chochote, kwani ushabiki uko mbele zaidi...

Na Umessi vs Cr7 ...umesababisha ujipe upofu
 
Na huna uwezo wa kujibu chochote, kwani ushabiki uko mbele zaidi...

Na Umessi vs Cr7 ...umesababisha ujipe upofu
Bado nakuita dogo hamna mahali nilipowazungumzia hao pia mi sio mshabik wao hao walishamaliza kila kitu wapo sayar yao ngumu kuwatenganisha huwa siwajadili hata siku moja niliacha mwaka 2008 baada ya kukubali uwezo wao hamna wa kutokea kwa sasa hizo level nipo kimya sipotezi muda kuwajadili.
 
Swali lina jieleza. Maomba ufafanuzi. Unaweza kujibu. Sasa kuleta hapa sifa eti ww ndie unajua zaidi, sijui messi hana chochote ni sifa za kitoto.
Hebu nionyeshe ni wapi kwenye hii mada nimeandika Messi hana chochote
 
Ila hata signature yako ni jibu tosha
 
Ila hata signature yako ni jibu tosha
Ndo mana nakwambia mess na ronaldo nawakubali sana hapo sina wa kumbagua napenda vitu vizur mess anajua na ronaldo anajua kwangu ipo hivyo wote ni wachezaj waliotimia na huwa sinaga mjadala nao nawapenda sana.
 
Hizo zote kazipata akiwa ndani ya barcelona. world cup qualifying hata hapa bongo kuna waliowahi kufunga magoli. Kwa kifupi hakuna cha kujivunia hapo
Nimegundua kuwa wewe huna ubongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…