Maradona Kocha mpya Argentina national Team

Maradona Kocha mpya Argentina national Team

Albedo

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
5,558
Reaction score
1,456
Gwiji la Soka Duniani, Diego Armando Maradona anatarajiwa kushika Mikoba ya kukinoa kikinoa kikosi cha timu ya Taifa ya Argentina kuelekea Kombe la Dunia 2010 nchini Afrika ya Kusini.

You can imagine, akina Messi, aguero, Riquelme kwenye Bench la ufundi akiwemo El' Pibo mwenyewe
 
Sijui kama ataweza hiyo kazi
 
Sijui kama ataweza hiyo kazi

Sio tu kuweza, kama hata wavuruga wachezaji wake pia na midudu yake ile, his appointment imekuwa more emotional that rational reality..!, sijui!!
 
Back
Top Bottom