Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
Kama kuna kitu cha msingi alichofanya Maradona ni kumgeuza Lionel Messi kuwa playmaker na yeye kuwafungulia wenzake wafunge.
Think kama Rooney, Drogba, Ronaldo na wengine ambao ni strikers/forards wakicheza kama messi alivyocheza against South Korea!
Think kama Rooney, Drogba, Ronaldo na wengine ambao ni strikers/forards wakicheza kama messi alivyocheza against South Korea!