Maisha popote mkuu husiwaze Cha msingi ni kuingiza mtonyo maana hata sisi tunaosoma au tuliosoma lengo kuu ni kupata pesa kwa kuajiriwa na wachache ndio wanawaza kujiajiriNajuta kukataa shule. Nilikua nakimbilia kuuza karanga na kuchunga ng’ombe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwani uzi unasemaje?
hukuwa na marafiki wa kiume?
[emoji23][emoji23][emoji23]Microwave zinatafuta viporo.....
Hiyo ni Kijitonyama Kisiwani?Kijitonyama primary 2000
Kizuka TPDF Sec 2004
Mwakaleli High Sc 2005
Jitegemee JKT High Sc. 2008
UDSM (UDBS) in management science 2011
PM me my comrades.....
[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]Sisi wengine tuna bahati mbaya hapa juzi tu nimetoka kuleft kwenye group waliloniadd tuliosoma nao secondary yani balaa tupu wale jamaa hawajawahi change yani tabia ni zile zile kuna jamaa tumemchangia rambi rambi anakuja kutuambia aliyekufa ni rafiki wa babu yake
Mwingine kajifanya amekufa ili achangiwe pesa nae mara kaonekana baa na mwagilia moyo ila ndo wadau wangu niliosoma nao hakuna hata mmoja yupo ofisini darasa zima ma loser akuna aliyefanikiwa kutokana na elimu
Ila nawakubali sana wadau wangu ile laana ya maisha nahisi tulipewa wote tukiwa class na vile darasa letu lilikua karibu na choo
Wanawake ndo sijui wamepotelea wapi. Niliyemuona siku za karibuni ni dada mmoja alikuwaga mlokole kipindi icho shule ila sahizi anamiliki glocery na ukitaka kula malaya ye ndo dalali wao mkubwa[emoji1751]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ambao hatujasoma hali ikoje?Karibuni
Anzisheni group Lenu la watsapp la waliosoma kabisaAmbao hatujasoma hali ikoje?
Mzee wa sekeiNaura primary school Arusha-2004
Arusha secondary-2008
Musoma Tech sec school-2011
Udsm udbs-bcom account-2014
Kizuka ya miaka iyo alikuwepo jamaa anaitwa mbaraka forogo kwa sasa ni katibu tawala mkoa wa mara nahisi alikuzidi vidatoKijitonyama primary 2000
Kizuka TPDF Sec 2004
Mwakaleli High Sc 2005
Jitegemee JKT High Sc. 2008
UDSM (UDBS) in management science 2011
PM me my comrades.....
Mkuu, Huna akili! Narudia tena HUNA AKILI, Nasisitiza tena HUNA AKILI, Nakazia tena HUNA AKILI, Hivi una mke mkuu? Kwanza hupaswi kuwa na mke, na unavyoonekana ni mwanafunzi ulieko boarding, na muda huu umetoka prepo ukaamua kupitia huku kuandika reply ya kipumbavu
Kama hawa ninaowatafuta hawako huku, unataka kusema walioko JamiiForums sio watu? Ni mazombie? Kwani wewe sio mtu? Au mimi sio mtu? Au unadhani JamiiForums inatumiwa na wewe pamoja na ndugu zako tu?
Hata hiyo facebook unayoidharau, JamiiForums ina verified account huko. Wala maxence melo sio mjinga kama wewe kutengeneza jukwaa la MMU, au hujui kirefu cha MMU? Max ni mtu mwenye familia ya mke na watoto, nadhani ushanielewa ninachomaanisha. Hivi wewe kabila gani kwanza?
Hata MMU hujulikani. Tazama replies za wenzako kwenye huu uzi kama zinafanana na reply yako ndipo utagundua maana halisi ya empty box. Tumia kichwa cha juu, achana na kichwa cha chini
Ngoja nikuitie Kelsea pamoja na mumewe mzabzab waje wakushangae kwanza.
Mkuu Demi Mzee wa kupambania Kunguru wa Manzese cocastic Smart AJ DeepPond wa Majay Tigo
Kijitonyama kuu, kama unaelekea scienceHiyo ni Kijitonyama Kisiwani?