Marafiki wa kutoka out/bata

Joined
Jul 25, 2014
Posts
83
Reaction score
36
Habari wanajamvi,
Natafuta marafiki aged 25 mpaka 30 kwaajili ya mitoko hasa siku za wikiend kwenda clubs mbalimbali au sehemu yeyote ya bata kama kula kunywa nakadhalika.
Nimekua na marafiki wengi tu ila kinachokera ni utegemezi wao si wanaume au wanawake. unatoka nae out anataka umlipie, pili hana usafiri mida ya kurudi anakutumbulia macho umrudishe, yani ni kero kero kero, sijui hata nnabahati mbaya gani, sijawahi pata rafiki independent kabisa.
Mimi ni msichana, mambo ya kutongozana sitaki, i only need company.
Machangudoa hawahitajiki, nahitaji kijana anaejielewa, mfanya kazi au mjasiliamali ambaye atahitaji kutoa stress za kazi wkend, uwe na kipato chako. katikati ya wiki ni muda wa kazi tusiendekeze bata.

Maisha yenyewe ndio haya haya, aliyetayari anicheki tuunde group. kama vyuma kwako vimekaza lala ndani.

karibuni wote.
 
Sasa tutoke kila mmoja na gari lake kama tupo 6 si utakuwa msafara wa JPM....

Kama tupo 6 twende na Lyimo moja....ila kwenye matumizi kila mmoja afe kivyake.

Haya mambo yanakera pale unakuta wa3 wapo na babes wao huku wengine mpo single....
 
Sasa tutoke kila mmoja na gari lake kama tupo 6 si utakuwa msafara wa JPM....

Kama tupo 6 twende na Lyimo moja....ila kwenye matumizi kila mmoja afe kivyake.

Haya mambo yanakera pale unakuta wa3 wapo na babes wao huku wengine mpo single....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shida itakuja wkt wa kurudi..mwingine haondoki mpk bar ifungwe and kumuamin mtu akuendeshe huku kashatupia kilevi ni changamoto kwa kweli
 
"Kama vyuma kwako vimekaza lala ndani " Hi kauli imenikumbusha mbali sana wakati niko chuo kila wakati wa bata mi sina hela. Washkaji zangu walini beba saaaaaaana. Ingawa walikua wananiambia we kama huna hela lala..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Umejhakikishia wewe mwenyewe sio tegemezi lakini?!

Na Kuna haja gani ya kutoka wote Kama Kuna vitu hatutoshare, kwanini usiende peke yako tu.?

Unaonekana wewe ni muumini wa pesa zako Sana.
 
Ngoja waje wale wanapenda simamia bill maana naona vyuma mkazo hadi wasimamoa bill wamekimbia.
 
Sasa tutoke kila mmoja na gari lake kama tupo 6 si utakuwa msafara wa JPM....

Kama tupo 6 twende na Lyimo moja....ila kwenye matumizi kila mmoja afe kivyake.

Haya mambo yanakera pale unakuta wa3 wapo na babes wao huku wengine mpo single....
Mzee ntaomba lift kwenye gar lako maana boda boda haziruhusiw mjin
 
Mzee ntaomba lift kwenye gar lako maana boda boda haziruhusiw mjin
Ha ha ha.... ujue lako ndilo nililokuwa nategemea siunajua ushakuwa shemeji vyako ni vya dada
 
Ha ha ha.... ujue lako ndilo nililokuwa nategemea siunajua ushakuwa shemeji vyako ni vya dada
Mie siku hz nina boida boda kama vp njoo dada ako tutamuweka katkat we utaendesha
 
Vyuma vimekaza, mie nina group la namna hiyo na tuko 10 ila tumesoma pamoja,. Sie hatuendi club ila tunasafiri kwenda sehemu mbalimbali au tunakutana for dinner ama lunch, Ni raha aiseee na kila mtu anajitegemea.
waooh , hii iko poa sana, nifanyie mpango basi na vile napenda safari ni hataree
 
Sasa tutoke kila mmoja na gari lake kama tupo 6 si utakuwa msafara wa JPM....

Kama tupo 6 twende na Lyimo moja....ila kwenye matumizi kila mmoja afe kivyake.

Haya mambo yanakera pale unakuta wa3 wapo na babes wao huku wengine mpo single....
ha ha ha , mi mtu akiwa na bebe wake sikai nae walahi...masuala wanaanza kubembelezana mbele yangu nakasirika kinoma
 
Umejhakikishia wewe mwenyewe sio tegemezi lakini?!

Na Kuna haja gani ya kutoka wote Kama Kuna vitu hatutoshare, kwanini usiende peke yako tu.?

Unaonekana wewe ni muumini wa pesa zako Sana.
peke yangu naboreka, namimi sio tegemezi asilimia mia, kila mtu ale chake bwana
 
"Kama vyuma kwako vimekaza lala ndani " Hi kauli imenikumbusha mbali sana wakati niko chuo kila wakati wa bata mi sina hela. Washkaji zangu walini beba saaaaaaana. Ingawa walikua wananiambia we kama huna hela lala..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
utakua ulikua unaboa kinyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…