Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Shemeji WA Kwanza huyu hapaDuh!
Mandonga sahivi si anaimba au Yule NI Uwoya??Hili pambano la mandonga Leo🤣🤣🤣round ya sita Bado hamna dalili
Hahahaha Ila anasema uwkeliHuyu jamaa ana vituko sana na bangi zake😄😄
Apana yule anayeeimba anaitwa mwijaku ayoMandonga sahivi si anaimba au Yule NI Uwoya??
Kwa nini upewe siri?Wanajua ubaya, siri, dhambi nyingi anazofanya mpenzi wangu lakini watakunafiki mwanzo mwisho
Kuna vitu vingne hata kwa akili ya kawaida unaweza ukajua nini kinaendelea kwa huyo unaemwita mpenzi wako 😀 Mfano ana marafiki zake wa karibu kama wa3 unaofahamiana nao ila hao marafik ni waongo waongo na wazee wa mademu kama vijana wasemavyo sasa kama hao wa3 wako hvyo hapo bado hujajua kuwa hata mwenzao yuko hvyo? uhalisia wa maisha mtu huwa na marafk wanaofanana tabia sio rahis umkute mtu ana marafk wasiofananaMashemeji mnaitwa
50thebe Smart911 Cr wa familia mshamba_hachekwi Ushimen Bujibuji Simba Nyamaume turubbo
Mambo yao waachie wenyewe...Mashemeji mnaitwa
50thebe Smart911 Cr wa familia mshamba_hachekwi Ushimen Bujibuji Simba Nyamaume turubbo
Tatizo tukikuambia ukweli kuhusu tabia za jamaa yako, halafu wewe na yeye mkayamaliza, unaanza kumuambia ni wale marafiki zako fulani na fulani ndio waliniambia..! Sisi tena tunaanza kuonekana ma snichi, ma heta, mwisho urafiki unakufa."Hakuna watu wanafiki huku Duniani kama Marafiki WA mpenzi wangu (mashemeji WA KIUME)
Wanajua ubaya, siri, dhambi nyingi anazofanya mpenzi wangu lakini watakunafiki mwanzo mwisho😱
Wakikuona Tu wanakusalimia, shemeeejiiii, au shemeji wewe
Woi 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Mashemeji popote mlipo Mungu atawachoma na gesi" ... Alisema shosti Angu hapa grocery akiwa amevurugwa anashushia na castle lite
View attachment 2730799
Apana yule anayeeimba anaitwa mwijaku ayo
Kwa nini upewe siri?
Kamwe hatuwezi kuvunja miiko ya kufichiana siri.
Sisi ndio wanaume.
Kuna vitu vingne hata kwa akili ya kawaida unaweza ukajua nini kinaendelea kwa huyo unaemwita mpenzi wako 😀 Mfano ana marafiki zake wa karibu kama wa3 unaofahamiana nao ila hao marafik ni waongo waongo na wazee wa mademu kama vijana wasemavyo sasa kama hao wa3 wako hvyo hapo bado hujajua kuwa hata mwenzao yuko hvyo? uhalisia wa maisha mtu huwa na marafk wanaofanana tabia sio rahis umkute mtu ana marafk wasiofanana
Mwisho wa yote KATAA MAHUSIANO KATAA NDOA
NAWASILISHA MKUU
Mnafiki siku zote ni rafiki wa wanafiki#ndegewafananao
Mambo yao waachie wenyewe...
Rudia kusoma uzi bruhTatizo tukikuambia ukweli kuhusu tabia za jamaa yako, halafu wewe na yeye mkayamaliza, unaanza kumuambia ni wale marafiki zako fulani na fulani ndio waliniambia..! Sisi tena tunaanza kuonekana ma snichi, ma heta, mwisho urafiki unakufa.