Marafiki wa wapenzi/wenzi!

Watu wanajaa ndani bila hata taarifa..kweli sio fresh!!!Ila sasa na wewe hua huleti washkaji kuangalia mpira???


mimi mpira nakwenda bar na washikaji huo huko.
narudi peke yangu......
 

I don't buy it.....not when you are being that general!!!
Sikatai kwamba kuna ukweli kwenye usemacho.....ila ingekua kweli watu tungeshatembea na wanaume zaidi ya tunavyoweza kuhesabu!!
 
Kitufe cha senks kimepotelea wapi tena? Mkuu nakuunga mkono kwa sana tu!
 
mimi mpira nakwenda bar na washikaji huo huko.
narudi peke yangu......

Well that's good....maana ukirudi nao alafu ukute mupenzi kajivalia kakanga kamoja ndo mwanzo wa washkaji wenye uroho kutaka kukugeuka!
 
Lizzy nikwambie ni wachache sana wenye uthubutu wa namna hiyo, watu wanapeana namba kimya kimya wewe haujui ishu ukiisha ishtukia kuwa wanaji-bluetooth hapo ndio unaanza sasa ku-rewind picha hadi unapata jibu movie ilianzaje.
 
Well that's good....maana ukirudi nao alafu ukute mupenzi kajivalia kakanga kamoja ndo mwanzo wa washkaji wenye uroho kutaka kukugeuka!

usually sihofii marafiki.....
but sometimes mambo ya wawili yabaki kuwa ya wawili.....
unaweza kukaa vibaya hivi.au kutamani kutazama tamthilia hivi....
 


nakusoma mkuu hasa hapo kwenye red...
 
Well that's good....maana ukirudi nao alafu ukute mupenzi kajivalia kakanga kamoja ndo mwanzo wa washkaji wenye uroho kutaka kukugeuka!


halafu wewe........idea ya khanga moja hiyo lol....napoteza network hapa...
 
Lizzy nikwambie ni wachache sana wenye uthubutu wa namna hiyo, watu wanapeana namba kimya kimya wewe haujui ishu ukiisha ishtukia kuwa wanaji-bluetooth hapo ndio unaanza sasa ku-rewind picha hadi unapata jibu movie ilianzaje.

Ahhhh miwani sijavaa muda mpaka imepata kutu!!Nimeona lakini!
Hahahahah.....kweli aisee asije akawa LOVER BOI....sitaki matatizo mie!!!

Heheheheh...eti wanajibluututhi!!Hapo sasa ndo maana mahusiano hayadumu....uaminifu hamna kabisa!!!
 
Ahhhh the long lost husband!!

Unayosema kuhusu kutengeneza ukaribu kwa nia ya kufahamiana ni sawa kabisa....tatizo ni kwamba kuna watu hua wanautumia huo ukaribu vibaya kwahiyo inabidi kuwe na njia ya kujiepusha na hayo ''MABAYA''.

Huko kwingine sijasoma, hebu fafanua hapa . . .
 
hakuna safe distance....labda na wazazi na kaka/ dada zako....:bange:
 
Nyamayao na MJ1 naomba niwasalimie, japo nishike mikono yenu tubadilishane kajoto kidogo . . . .
 
Ahhhh miwani sijavaa muda mpaka imepata kutu!!Nimeona lakini!
Hahahahah.....kweli aisee asije akawa LOVER BOI....sitaki matatizo mie!!!

Heheheheh...eti wanajibluututhi!!Hapo sasa ndo maana mahusiano hayadumu....uaminifu hamna kabisa!!!
Tatizo ndio hapo, tunapenda kuoneana aibu na kutokuambiana ukweli
 
Huko kwingine sijasoma, hebu fafanua hapa . . .

Well japo talaka sijapewa naona kama mume sina!!!
Haya rudi ukasome palle juu ili uongeze mabusara!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…