Pole mwaya.
Kweli kutambulishwa haina maana wewe ndo wa kipekee....kuna watu wanatambulisha hata wanne kwa mpigo...marafiki zake waishia kukuchora tu unavyotukuzwa ukiwepo!
hakuna safe distance....labda na wazazi na kaka/ dada zako....:bange:
Husniyo,unacheza wewe,sisi wanaume ni viumbe dhaifu.Mi naona bora uwe huru na mpenzi wako kuliko kumficha ficha kisa utapinduliwa na rafiki yako. Kwanini uwaogope rafki zako wawili watatu wakati huyo mpenzi wako anakutana na watu wa jinsia hiyo karibia kila siku.
baba_enock na mama_enock hawana "safe distance" : rafiki ya me ni rafiki ya be & vice versa...
Labda kama tunajaribu kubadilisha maana ya neno "rafiki", but in general and generic terms a friend is someone (other than a relative) ambaye mnaweza kushauriana mema na mabaya, mnaweza kusaidiana katika kila hali, e.t.c.
Sasa unaponiambia kuwa ninaweza kuwa na rafiki ambaye urafiki wetu ni (100-x)%, where x is variable! Sijui maana yake.
Also, kwa walio kwenye ndoa kuna terminology tunaitumia sana nayo ni "family friend" kwa maana kuwa ni familia rafiki kwa maana ya urafiki. Say mama_enock anafanya kazi mitaa ya posta na baba_peace (our family friend), i can see no offense whatsoever, baba_peace na mama_enock kwenda break point kupata lunch or kujuimuika in any way, that is beyond my control... Anyways as murphys law says "anything that can go wrong, will go wrong" .. Kama ni kuwa na "affairs between them", you can not avoid it by not allowing them to mingle - no, never, and ever..
Huwezi kuwa na urafiki na mtu kwa asilimia (100-x)% halafu ukamwita rafiki - huo ni unafiki and i hate it..
mama wa nyumbani huyu au? maana unaposema umkute unasahau wengine sie tunachelewa makazini kwetumimi mwanamke akipeleka mambo yetu ya ndani kwa shosti wake
naweza mpa talaka mara moja.....
kingine i hate most.......
unarudi kazini umechoka.....unakuta nyumba imejaaa watu.....
i really hate this........
unakuta watu wanaangalia filam ya kinegeria hivi au wamejiachia kwenye makochi
na story za umbea......arghhhhhh
mimi nataka nikirudi home nikute honey yupo peke yake
ananukia hivi,msaaafi....nguo nyepesi.....na juice baridi inanisubiri......
get it women....
Kutamai hukatazwi ila kufanya kwa vitedo ndio nomababa e,hebu kuwa mkweli kwa nafsi yako,je hujawahi aslan kumtaka rafiki yeyote wa mkeo kwa mawazo,maneno au matendo?