Sioni tatizo kwa mpenzio kutongozwa na c suala la kukuumiza kichwa kwa sababu hata kabla ya kuwa na wewe alishatongozwa na wengine lakini ameamua kuwa na ww au umefungua mlango?
We unaelewa fika jinsi baadhi ya wanaume walivyo vinganganizi, cha msingi ni kumwambia huyo mpenzi wako asipokee simu yake, asijibu sms, asikutane naye katika mazingira yoyote ambayo yanampa nafasi ya kuongea naye(faragha).
Kwa kuwa hajawa mkeo mwache alishughulikie mwenyewe ww uwe mshauri tuu, unaweza kutumia nguvu kubwa kesho ukabwagwa na wakaanza uhusiano itakuumiza sana.