Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Habarini waungwana....
Vijana na marafiki zangu wananiambia weekend twende kutazama mechi ya simba, nimewaambia siendi.
Siwezi kwenda kupoteza pesa zangu kwa ajili hiyo, nimewaambia ni heri jumapili nipoe na kusubiri Jumatatu ifike ili niende kwenye maombolezo kwani huko ndipo roho na akili yangu inataka.
Wanasema naenda kujitafutia matatizo, nikasema ni heri hivyo kuliko kwenda kupoteza muda na kupiga makelele kwenye mambo yasiyo na msingi.
Nasubiri muongozo wa maandamano yataanzia wapi ili nifike mapema, sijawahi kushiriki maandamano na hii ni mara ya kwanza.
Naamini vijana tutajitokeza kwa wingi na kupaza sauti kukemea mauwaji na uharamia unao endelea katika nchi yetu.
Tukutane Septemba 23, 2024 DAR ES SALAAM
Soma Pia:
Vijana na marafiki zangu wananiambia weekend twende kutazama mechi ya simba, nimewaambia siendi.
Siwezi kwenda kupoteza pesa zangu kwa ajili hiyo, nimewaambia ni heri jumapili nipoe na kusubiri Jumatatu ifike ili niende kwenye maombolezo kwani huko ndipo roho na akili yangu inataka.
Wanasema naenda kujitafutia matatizo, nikasema ni heri hivyo kuliko kwenda kupoteza muda na kupiga makelele kwenye mambo yasiyo na msingi.
Nasubiri muongozo wa maandamano yataanzia wapi ili nifike mapema, sijawahi kushiriki maandamano na hii ni mara ya kwanza.
Naamini vijana tutajitokeza kwa wingi na kupaza sauti kukemea mauwaji na uharamia unao endelea katika nchi yetu.
Tukutane Septemba 23, 2024 DAR ES SALAAM
Soma Pia: