Marafiki zangu 90% wamenizidi umri

Marafiki zangu 90% wamenizidi umri

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Habari za humu, Mimi tokea nikiwa Mdogo nimejikuta tu nikiwa na marafiki walionizidi umri, ninaposema rafiki namaanisha marafiki wa kweli na ni wajinsia zote.

Nakumbuka Kuna kipindi mm nikiwa Bado sijaoa nililetewa kesi ya ndoa mume akiniambia matatizo na mke akiniambia matatizo ya mume.

Niliweza kuwapatanisha wale watu walionizidi zaidi ya miaka 7 mm nikiwa na 18+ zaidi wakati huo.

Yaani kiujumla mm mahusiano yangu zaidi naendana na watu walionizidi umri Hadi wazee, wananielewa sana kuliko rika langu.
 
Habari za humu, Mimi tokea nikiwa Mdogo nimejikuta tu nikiwa na marafiki walionizidi umri, ninaposema rafiki namaanisha marafiki wa kweli na ni wajinsia zote,

Nakumbuka Kuna kipindi mm nikiwa Bado sijaoa nililetewa kesi ya ndoa mume akiniambia matatizo na mke akiniambia matatizo ya mume,

Niliweza kuwapatanisha wale watu walionizidi zaidi ya miaka 7 mm nikiwa na 18+ zaidi wakati huo,

Yaani kiujumla mm mahusiano yangu zaidi naendana na watu walionizidi umri Hadi wazee, wananielewa sana kuliko rika langu.

Kuna kitu kinaitwa age mate, up to 5 years ni sawa, labda zaidi ya 10 ndo weird, na ili ueleweke lazima tukubaliane nini maana ya neno rafiki.
 
Back
Top Bottom