Marafiki!!!


Pengine tujiulize yafuatayo kwanza, je nini definition ya RAFIKI???
Je watu unaokutana nao makazini na maofisini na mnafanya kazi pamoja ni automatically marafiki au sio marafiki??
Je inawezekana mtu unafanya nae kazi kila siku ofisi moja usiwe na urafiki nae (kama uliamua kumkwepa) ???
 

Will be back na majimu ijumaa!!
Missed you hubby!!
 
Asante Lizzy,
Somo zuri ...kipindi kingine lini?

Well, kwa uzoefu wangu sometimes it takes time kumfahamu mtu vizuri kwa hiyo katika kipindi ya kuwasiliana na kuelewa kuna vitu tunjifunza kwenye maisha. Ni vizuri kuwa rafiki wa kila mtu ili tuweze kushare busara na hekima kila moja aliyopewa...Ila tusiendeshwe na mambo mabya na ni vizuri tuwe wa wazi kwenye tatizo mapema iwezekanavyo...
 
hapa umenena,ubarikiwe sana,mana hua tunajisahau sana
thanks lizzy:usa2:




 
Will be back na majimu ijumaa!!
Missed you hubby!!

Oooh my Baby
Where are u goin now?
I need you here
Plse go with me

Pleaseeeeee
Know that I love you and our love is still growing
Plse honey
Dont make me cry
 
Oooh my Baby
Where are u goin now?
I need you here
Plse go with me

Pleaseeeeee
Know that I love you and our love is still growing
Plse honey
Dont make me cry

Gosh!!Nlikua na haraka mpaka nikalipua majimu badala ya majibu!!!
Nwyz hubby wifey 's got some studying to do aisee!!Ila nimekumiss mpaka
nikaanza kufikiria labda hunipendi maana umeniacha niteseke bila uwepo
wako!!!!:A S 13:!

Me love you!!!
 
Lizzy umezungumzia jambo muhimu sana. Friendship is truly essential to the human spirit kama maji na chakula kwenye miili yetu. Whether wewe ni tajiri au maskili, wote tunahitaji marafiki who will pull us through thick and thin. Marafiki ndio chanzo cha furaha zetu, n.k. Ushauri na mawazo mengi tunayapata toka kwa marafiki zetu. Friends wipe away all our tears when sorrow and loneliness struck as with the game called twist of fate. They are our solid anchor when we need stability when troubles lurks. They are our defensive sentinels when a foe's slugs are all over the place.

Tunakoelekea inaonekana kama tutakuwa karibu zaidi na marafiki kuliko ndugu. Maisha yamefanya ndugu wawe mbali (it is a shame) kutokana na sababu za kazi, n.k. Kwa hiyo unakuta tunawategemea zaidi marafiki zetu katika kutatua matatizo yetu mbalimbali. Also, modern day living spreads our time and energy thin. Mobility from one place to another and the presence of IT stuffs like TV, DVD, computer, internet and more are affecting our getting acquainted with our friends well. Everyone seems busy at almost all the time. But still, young and old, we need happy and meaningful friendship.

Wapo waliobahatika kupata marafiki wazuri, I mean marafiki ambao they will always be there whenever you need them. Pia wapo ambao hawajabahatika kupata marafiki wa kweli. Now ni jinsi gani ya kupata marafiki ambao they will always be there whenever you need them? This will depend on you and what sort of friends you want. It will depend on how you live with people and how you treat them. Depending on how you treat other people, you may end up with having superficial friends, true friends, real friends, or just friends who want to hang out with you.

To have a friend, be a friend. To have real friends or to be an unselfish, giving friend yourself, in short, be a sincere friend. Friendship must be filled with more of giving than about getting. Authentic happiness comes from giving. The one that receives is happy but the one that gives is even happier.

Stay Blessed.
 

Thank you EMT for this....hopefully kila mtu atajifunza kitu au vitu hapa!!
Be blessed and stay blessed!!!
 
Inasemwa kuwa rafiki mzuri ni kama hazina bora; mtu akiipata anatakiwa aitunze.
 
Hehehehe....babu kama unaona uwezekano wa mimi kua nao basi nnao!!!

Watoto uliowazaa mwenyewe huwezi kushindwa kujua yupi si riziki na yupi umelemba dume!

Kazi nzuri sana...endelee kutumwagia maono na hata ikibidi wewe nena kwa lugha tu hapa jamvini...tutafuta mkarimani!
 
Thanks Lizzy,
I missed you loads and loads, you simply rock my world!!!! 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…