Maraha ya mvulana wa kugombaniwa............

Ruta ..hizo sababu alizozandika mbalisana inabidi nijiangalie ..ial mimi simo kwene hizo sababu alizoziweka hapo na wala mimi sio sharo kiviile labda kwa vile napiga mazoezi na kikapu kwa sana sijui

nionavyo lazima una mvuto fulani ambao ndiyo unawapelekesha puto..............khalafu mengineyo hujitokeza baada ya kuriidhika na taswira yako ya nje...........................ingawaje sometimes they don't know why they fall for a certain guy............sometimes it is a question of mood...............
 
Wakipata hisia za ngono kwa mtu fulani,tosha hawaangalii mambo mengine!

wa maanisha anamvuto wa kingono..............sexy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…