Marais Barack Obama, George W Bush na Bill Clinton wajitolea kupata chanjo ya Corona

Marais Barack Obama, George W Bush na Bill Clinton wajitolea kupata chanjo ya Corona

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Waliokuwa marais wa Marekani Barack Obama, George W. Bush na Bill Clinton wamejitolea kupewa chanjo ya ugonjwa wa corona kwa uwazi kabisa.

Watatu hao ambao wawili ni wa chama cha Democrat na mmoja wa Republican wamesema kuwa watapata chanjo hiyo punde tu itakapoidhinishwa na wadhibiti wa maafisa wa afya. Hatua hiyo inakusudiwa kuimarisha imani ya raia juu ya usalama na ufanisi wa chanjo za virusi vya corona.

Kura za maoni zinaonesha kuwa idadi kubwa ya watu hawana haraka ya kupata chanjo hiyo.

Hadi kufikia sasa hakuna chanjo ambayo imeidhinishwa na Marekani lakini wadhibiti wa serikali wanaanza kufuatilia chanjo ya kampuni za kampuni za Pfizer na Moderna wiki zijazo.

"Nawaahidi itakapoanza kupatikana kwa watu walio katika hatari kubwa, nitaipata," Bwana Obama amesema katika mahojiano ya radio Jumatano SiriusXM.

"Huenda nikainywa kupitia televisheni au nichukuliwe video, ili watu wajue kwamba ninaamini sayansi."

1607082704222.gif
1607082704222.gif


1607082704222.gif
 
Wabaki na usen.ge wao huko huko kwao, sie huku kwetu hatuna korona.. huo ni ugonjwa wao na ndio ume waua wengi
 
Waliokuwa marais wa Marekani Barack Obama, George W. Bush na Bill Clinton wamejitolea kupewa chanjo ya ugonjwa wa corona kwa uwazi kabisa.

Watatu hao ambao wawili ni wa chama cha Democrat na mmoja wa Republican wamesema kuwa watapata chanjo hiyo punde tu itakapoidhinishwa na wadhibiti wa maafisa wa afya. Hatua hiyo inakusudiwa kuimarisha imani ya raia juu ya usalama na ufanisi wa chanjo za virusi vya corona.

Kura za maoni zinaonesha kuwa idadi kubwa ya watu hawana haraka ya kupata chanjo hiyo.

Hadi kufikia sasa hakuna chanjo ambayo imeidhinishwa na Marekani lakini wadhibiti wa serikali wanaanza kufuatilia chanjo ya kampuni za kampuni za Pfizer na Moderna wiki zijazo.

"Nawaahidi itakapoanza kupatikana kwa watu walio katika hatari kubwa, nitaipata," Bwana Obama amesema katika mahojiano ya radio Jumatano SiriusXM.

"Huenda nikainywa kupitia televisheni au nichukuliwe video, ili watu wajue kwamba ninaamini sayansi."

View attachment 1641510View attachment 1641510

View attachment 1641510
kesi ya nyani kapelekewa tumbili
 
Waliokuwa marais wa Marekani Barack Obama, George W. Bush na Bill Clinton wamejitolea kupewa chanjo ya ugonjwa wa corona kwa uwazi kabisa.

Watatu hao ambao wawili ni wa chama cha Democrat na mmoja wa Republican wamesema kuwa watapata chanjo hiyo punde tu itakapoidhinishwa na wadhibiti wa maafisa wa afya. Hatua hiyo inakusudiwa kuimarisha imani ya raia juu ya usalama na ufanisi wa chanjo za virusi vya corona.

Kura za maoni zinaonesha kuwa idadi kubwa ya watu hawana haraka ya kupata chanjo hiyo.

Hadi kufikia sasa hakuna chanjo ambayo imeidhinishwa na Marekani lakini wadhibiti wa serikali wanaanza kufuatilia chanjo ya kampuni za kampuni za Pfizer na Moderna wiki zijazo.

"Nawaahidi itakapoanza kupatikana kwa watu walio katika hatari kubwa, nitaipata," Bwana Obama amesema katika mahojiano ya radio Jumatano SiriusXM.

"Huenda nikainywa kupitia televisheni au nichukuliwe video, ili watu wajue kwamba ninaamini sayansi."

View attachment 1641510View attachment 1641510

View attachment 1641510
Wamemtoa yule rais kifitina ili mason watimize malengo yao Mungu yupo waombaji na tuombe sana

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Tunataka hii itakayoletwa huku kwetu chitoholi ndio wachanjwe nayo
 
Hahhaaa wamejitolea kuchomwa sindano yenye glucose sio chanjo..

Unadhani wao wajinga kupugwa chanjo za hovyo hizo ni kwaakili yetu sisi depopulation agenda
 
Back
Top Bottom