Usipanic buana nakutania
Member
- Mar 12, 2021
- 95
- 109
Huyo Hellen ni wa nchi gani mkuuJPM.
Samia Suluhu Hassan.
Helen Johnson Salif.
Hahahh sawa mkuuTangia kuumbwa kwa dunia Tanzania haijawahi kupata rais wa hovyo kama marehemu dikiteta magufuli.
Alikua rais wa Liberian kabla ya mwanamichezo George Weah.Huyo Hellen ni wa nchi gani mkuu
CORONA Baba laoTangia kuumbwa kwa dunia Tanzania haijawahi kupata rais wa hovyo kama marehemu dikiteta magufuli.
Dah,hadi aibu yaani..eti marais wa Africa humuhumu siwajui
Hawa wote madiktetamagufuli
Gaddafi
iddi Amin
kim Jong
hitler
fidel Castro
shijimping
Dah hadi Idd Amin Fazaπππππππmagufuli
Gaddafi
iddi Amin
kim Jong
hitler
fidel Castro
shijimping