Marais wa Marekani Biden na Trump wapo hatarini kukamatwa na ICC kwa kushirikiana na Netanyahu

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760


Siku ya Leo ICC imetoaa kibali cha kumkamatwa waziri mkuu wa Israel Netanyahu, kiongozi mwengine maarufu aliewekewa kibali cha kukamatwa ni Rais wa Urusi, Putin.

ICC ina haki ya kuwakamata washirika wakuu wa Netanyahu ambao ni marais wa Marekani Biden na Trump kwasababu wanatoa ushirikiano mkubwa (Aiding and abetting)

Marekani ndiye msambazaji mkuu wa silaha za Israel

Biden amekuwa bega kwa bega na Netanyahu

Trump ameapa kushirikiana zaidi na Israel

Hali hii inaleta uwezekano mkubwa wa Biden na Trump kuwekewa vibali vya kukamatwa
 
Thubutrrrrrruuuuuuuuu..........wangeanza na putin kwanza ..........unadhani nyau nyau mtu mdogo eeeh............patachimbika hapo.........
 
Muimu kwasasa yeye ktk waarifu icho ndio muimu unatumia adi chakula maji kuwazuilia watu wote wasipate kinyume sheria kutumia chakula kama silaa uyo jamaa atoweza kusafiri km mwanzo yeye ataenda ktk nchi ambazo azitambui ile ICC mfano marekani russia china nchi chache sana kama Putin alivo uwez kwenda baadhi ya nchi muimu ni mtu abatakiwa akamatwe cha ajabu BBC iyo habari awajaitangaza wanyeti km kawaida yao.
 
Ndoto za mchana, ni sawa sawa kusema, ran Catholic pope, aende akaishi Iran, au Netanyahu aombe uraia wa Iran! Hiyo ICC ni kinyago kilichochongwa na UsA, UK, na wenzie kutishia majizi ya Afrika!
 
Biden wala Trump hawahusiki!
Lengo la US kutoa silaha kwa Israel ni kutaka ijilinde na maadui zake!
Siyo kuua watu wasio na hatia!
Kama ni mauaji anafanya Netanyahu mwenyewe na jeshi lake.
 
Panya anaanzaje kumkamata paka
 
Kwa kutolewa hiyo hati, moja kwa mona marekani anaingia ktk hatia na na moja kwa moja inamfunga Trump mikono,. Manyumbo acheni mihemko. Trump ana akili sana hawezi kuingia ktk huo mtego
 

Wangeanza na Eli Cohen Kisha wakamrukia Yoav Gallant waliofichama huku JF ingependeza zaidi.
 
Unachekesha wewe mfia dini unakurupuka tu unaanzisha uzi mradi kujifurahisha wewe akili yako Marekani ni ya kuruhusu viongozi wake wakamatwe ni hiyo mahakama ya kuwawajibisha mafisadi na madikteta ya africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…