Kimempata nini Mkuu?Labda kama khan hajui kilichompata mtanguliz wake fatou bensouda..!
Kimempata nini Mkuu?
Ulivomtaja hapa ndio nikakumbuka sijamsikia muda mrefu, alitolewa?
Ndoto za mchana, ni sawa sawa kusema, ran Catholic pope, aende akaishi Iran, au Netanyahu aombe uraia wa Iran! Hiyo ICC ni kinyago kilichochongwa na UsA, UK, na wenzie kutishia majizi ya Afrika!View attachment 3158269
View attachment 3158270
Siku ya Leo ICC imetoaa kibali cha kumkamatwa waziri mkuu wa Israel Netanyahu, kiongozi mwengine maarufu aliewekewa kibali cha kukamatwa ni Rais wa Urusi, Putin.
ICC ina haki ya kuwakamata washirika wakuu wa Netanyahu ambao ni marais wa Marekani Biden na Trump kwasababu wanatoa ushirikiano mkubwa (Aiding and abetting)
Marekani ndiye msambazaji mkuu wa silaha za Israel
Biden amekuwa bega kwa bega na Netanyahu
Trump ameapa kushirikiana zaidi na Israel
Hali hii inaleta uwezekano mkubwa wa Biden na Trump kuwekewa vibali vya kukamatwa
Panya anaanzaje kumkamata pakaView attachment 3158269
View attachment 3158270
Siku ya Leo ICC imetoaa kibali cha kumkamatwa waziri mkuu wa Israel Netanyahu, kiongozi mwengine maarufu aliewekewa kibali cha kukamatwa ni Rais wa Urusi, Putin.
ICC ina haki ya kuwakamata washirika wakuu wa Netanyahu ambao ni marais wa Marekani Biden na Trump kwasababu wanatoa ushirikiano mkubwa (Aiding and abetting)
Marekani ndiye msambazaji mkuu wa silaha za Israel
Biden amekuwa bega kwa bega na Netanyahu
Trump ameapa kushirikiana zaidi na Israel
Hali hii inaleta uwezekano mkubwa wa Biden na Trump kuwekewa vibali vya kukamatwa
View attachment 3158269
View attachment 3158270
Siku ya Leo ICC imetoaa kibali cha kumkamatwa waziri mkuu wa Israel Netanyahu, kiongozi mwengine maarufu aliewekewa kibali cha kukamatwa ni Rais wa Urusi, Putin.
ICC ina haki ya kuwakamata washirika wakuu wa Netanyahu ambao ni marais wa Marekani Biden na Trump kwasababu wanatoa ushirikiano mkubwa (Aiding and abetting)
Marekani ndiye msambazaji mkuu wa silaha za Israel
Biden amekuwa bega kwa bega na Netanyahu
Trump ameapa kushirikiana zaidi na Israel
Hali hii inaleta uwezekano mkubwa wa Biden na Trump kuwekewa vibali vya kukamatwa
Unachekesha wewe mfia dini unakurupuka tu unaanzisha uzi mradi kujifurahisha wewe akili yako Marekani ni ya kuruhusu viongozi wake wakamatwe ni hiyo mahakama ya kuwawajibisha mafisadi na madikteta ya africaView attachment 3158269
View attachment 3158270
Siku ya Leo ICC imetoaa kibali cha kumkamatwa waziri mkuu wa Israel Netanyahu, kiongozi mwengine maarufu aliewekewa kibali cha kukamatwa ni Rais wa Urusi, Putin.
ICC ina haki ya kuwakamata washirika wakuu wa Netanyahu ambao ni marais wa Marekani Biden na Trump kwasababu wanatoa ushirikiano mkubwa (Aiding and abetting)
Marekani ndiye msambazaji mkuu wa silaha za Israel
Biden amekuwa bega kwa bega na Netanyahu
Trump ameapa kushirikiana zaidi na Israel
Hali hii inaleta uwezekano mkubwa wa Biden na Trump kuwekewa vibali vya kukamatwa