Lakini Biden amemkwepa Mama mara 2.So kila Rais anakwenda kwa trade deal tournament
USSR
Viva tour du loyale
Ungeweka na ya wa kwetu akiongea na babaake Rihanna! Teh! Teh! Teh! Teh!
Na wa kwetu anafanya pia 👇
Kama haitoshi tunawapa na Chato, Geita, Mwanza, Simiyu Shinyanga na Tabora. Dodoma tutawaongezea kama nyongeza.Wakenya watupe Rais wao Uhuru sie tuwape huyu co- starring wetu wa royo de toure!
Nafikiri tuwape machame moshi na kilimanjaro nzima maana ndio iko jiraniKama haitoshi tunawapa na Chato, Geita, Mwanza, Simiyu Shinyanga na Tabora. Dodoma tutawaongezea kama nyongeza.