Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Binafsi nilifarijika sana uwepo wa Marais Wastaafu Kwani ni TUNU kwa RAIS aliyopo madarakani na wananchi kwa Ujumla.
Binafsi niliamini Marais Wastaafu hao ndio watakuwa mstari wa Mbele kuhakikisha nchi inatawaliwa Kwa mujibu wa Katiba Haki na Sheria zinafuatwa na kama Kuna Utofauti watatumia busara na hekima kumshauri RAIS aliyepo madarakani.
Hivi karibu hasa Katika Utawala wa Hayati Magufuli tumeshuhudia uvunjwaji wa katiba kwa makusudi wa viongozi walioapa kuilinda na Wananchi kuteswa sana.
1. Watu Wamebambikiziwa Kesi
2. Uchaguzi Mkuu Umevurugwa
3. Wabunge 19 wasio na Sifa Wapo Bunge Wanalipwa Mishahara
4 . Vyama vya Siasa Vinazuiwa Kufanya Mikutano Ccm Wanafanya N.k
Mambo ambayo Yanapoteza mshikamano na umoja wetu kwa wananchi .
Binafsi niliamini marais wastaafu ndio mambo Walitakiwa wanamshauri Rais ayaweke Sawa badala ya Rais Kuwasikiliza watendaji wake Ambao ndio chanzo cha yote hayo.
Mbona marais wetu wastaafu wanatumika kusuluhisha migogoro ya kisiasa nje ya nchi kwanini Migogoro ya Tanzania hawajihusishi?
Binafsi niliamini Marais Wastaafu hao ndio watakuwa mstari wa Mbele kuhakikisha nchi inatawaliwa Kwa mujibu wa Katiba Haki na Sheria zinafuatwa na kama Kuna Utofauti watatumia busara na hekima kumshauri RAIS aliyepo madarakani.
Hivi karibu hasa Katika Utawala wa Hayati Magufuli tumeshuhudia uvunjwaji wa katiba kwa makusudi wa viongozi walioapa kuilinda na Wananchi kuteswa sana.
1. Watu Wamebambikiziwa Kesi
2. Uchaguzi Mkuu Umevurugwa
3. Wabunge 19 wasio na Sifa Wapo Bunge Wanalipwa Mishahara
4 . Vyama vya Siasa Vinazuiwa Kufanya Mikutano Ccm Wanafanya N.k
Mambo ambayo Yanapoteza mshikamano na umoja wetu kwa wananchi .
Binafsi niliamini marais wastaafu ndio mambo Walitakiwa wanamshauri Rais ayaweke Sawa badala ya Rais Kuwasikiliza watendaji wake Ambao ndio chanzo cha yote hayo.
Mbona marais wetu wastaafu wanatumika kusuluhisha migogoro ya kisiasa nje ya nchi kwanini Migogoro ya Tanzania hawajihusishi?